Chagua nguo ambazo unaziona ndo nzuri zaidi miongongoni mwa hizo unazozishona. Kwa ushauri target yako iwe wafanyabiashara wadogo au wa kati ndo hutapata usumbufu wa malipo. Unaweza kwenda Zambia ukaanzi tuseme Ndola, Kitwe na Lusaka na usisahau kufika Kamwala market kuna wabongo wengi wauza nguo watakushauri zaidi. Pia unaweza kwenda Kenya kwa kuanzia Mombasa na Malindi, kisha ukaenda Nairobi usisahau kufika sokoni Gikomba kuna wachaga wengi wauza ngu wanaweza kukupa mbinu za kupata wateja pale, kisha ukaenda Nakuru the Kisumu. Endelea na safari vuka mpaka nenda na uganda anzia Jinja kisha uende Kampala na Marara usikose kufika huko. Wakati wa kurudi pitia Masaka utapata wateja. N.B: Jifunze kua muongeaji mzuri.
Kila la kheri
Sent using
Jamii Forums mobile app