GEOAFRICA
Member
- Jan 30, 2019
- 14
- 11
Habari za humu jamani
Naombeni msaada wenu. Ninafanya biashara ya nguo za vitenge yaani nabuni nguo kisha nauza kwa watu kwa rejareja.
Ombi langu ni kwamba najaribu sana kupanua biashara yangu lakini sijui wapi nianzie. Natamani niwe na masoko sehemu mbalimbali kama vile Zanzibar, Uganda na kadhalika ila sijui nianzie wapi tafuta hayo masoko.
Naombeni msaada wenu. Ninafanya biashara ya nguo za vitenge yaani nabuni nguo kisha nauza kwa watu kwa rejareja.
Ombi langu ni kwamba najaribu sana kupanua biashara yangu lakini sijui wapi nianzie. Natamani niwe na masoko sehemu mbalimbali kama vile Zanzibar, Uganda na kadhalika ila sijui nianzie wapi tafuta hayo masoko.