onetheincredible
Member
- Jun 18, 2015
- 47
- 7
Natanguliza salaam!
Ndugu wana janvi naomba msaada wenu kwa hili! NIMEPANGIWA NYANDUGA HGL combination.
Je naweza kuripoti kisha nibadiri comb ili nisome PCB na kama haiwezekani naweza kuhama shule na kubadili comb nisome PCB?
Ndugu wana janvi naomba msaada wenu kwa hili! NIMEPANGIWA NYANDUGA HGL combination.
Je naweza kuripoti kisha nibadiri comb ili nisome PCB na kama haiwezekani naweza kuhama shule na kubadili comb nisome PCB?