1. Unategemea nini kama serikali ina maafisa mipango kila wilaya, mkoa, kanda na kila wizara wizara ambao hawafanyi kazi zao inavyotakiwa kisa ni ndugu wa wakubwa?
2. Unategemea nini serikali haitengenezi mazingira ya utengenezaji wa ajira kwa ajili ya wahitimu na kuongeza uzalishaji na pato la taifa?
3. Unategemea nini watu wenye mamlaka ya kutunga sera na mambo kadha wa kadha kuhusu maendeleo ya nchi yetu lakini watu hawa wengi wao hawana uwezo wa desseminate hizo sera kwa walengwa,licha ya hilo hata kuibua sera nzuri zenye kusaidia jamii hazipo na wale wenye majukuu hayo uwezo ni mdogo.
Hapa jibu ni moja, watu mahususi wanahitajika kwa ajili ya kutupa mwongozo. Hii tabia ya kurundikana ndugu hata kama ni vilaza kwenye nafasi nyeti madhara yake ndo hayo ya kuwaita watu 6000 nafasi 4. Bullshit!