J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,513
Wakuu heshima kwenu,
Ninataka kujua hii taasisi ni ya nini na inahusu nini hasa, Jirani yangu alijiunga na mfuko huo bila kuelewa kwa miaka zaidi ya kumi sasa wakawa wanamkata 24000 kwa mwezi, mwaka juzi mwanzoni wakamuita kuwa bima yake imeiva na wakampa check ya million mbili. Baada ya hapo wakaanza kumkata 46000.
Sasa jirani yangu huyu anastaafu ndani ya mwaka huu na amewafata NIC na wakamwambia Bima yake itaiva mwaka 2021.
Hii maana yake ni nini na huyu mfanyakazi anaweza kupataje haki yake? Ikumbukwe kwamba hawa wafanyakazi ni watu wa vijijini ambao ki msingi waliingia kwenye izi taasisi bila kujiandaa vya kutosha.
Ninataka kujua hii taasisi ni ya nini na inahusu nini hasa, Jirani yangu alijiunga na mfuko huo bila kuelewa kwa miaka zaidi ya kumi sasa wakawa wanamkata 24000 kwa mwezi, mwaka juzi mwanzoni wakamuita kuwa bima yake imeiva na wakampa check ya million mbili. Baada ya hapo wakaanza kumkata 46000.
Sasa jirani yangu huyu anastaafu ndani ya mwaka huu na amewafata NIC na wakamwambia Bima yake itaiva mwaka 2021.
Hii maana yake ni nini na huyu mfanyakazi anaweza kupataje haki yake? Ikumbukwe kwamba hawa wafanyakazi ni watu wa vijijini ambao ki msingi waliingia kwenye izi taasisi bila kujiandaa vya kutosha.