NIC washitakini Clouds FM

Kichakoro

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2008
Posts
3,335
Reaction score
6,186
Jana katika kindi cha jahazi niliwasikia Kibonde and company wakizungumzia suala la NIC kuuza baadhi ya majengo yake ili kulipa madeni sugu ya kampuni hiyo. Hiyo habari ilikuwa kwenye gazeti la jana.

Kiliichonifanya niseme Clouds washitakiwe ni kwamba badala ya kusoma hiyo story kwenye gazeti wao waliishia kutoa very negative statement kuhusu NIC na ukweli ni kwamba wamewashauri wale wote walio na bima ya NIC waangalie maana kampuni ni kama imefilisika.

Hivyo wame-create fear to public na kama kampuni itapata loss, basi Clouds wawe responsible kwa hilo.

Ni hayo tu
 
kama warirekodiwa na wakipelekwa kwa korti,wajiandae kutoa mihela,ndio tatizo la kuwapa mic wakina kibonde,wasio hata na upeo wa kufikiria madhara ya matamshi yao
 
jana katika kindi cha jahazi niliwasikia kibonde and company wakizungumzia suala la nic kuuza baadhi ya majengo yake ili kulipa madeni sugu ya kampuni hiyo.
eid mubarak
 
Clouds family ina maadui wengi pande karibu zote. Hata ukisema eti "mti wenye matunda ndio hupigwa mawe" kwa uadui huu hapana, they have to analyze their public image!
 
Clouds family ina maadui wengi pande karibu zote. Hata ukisema eti "mti wenye matunda ndio hupigwa mawe" kwa uadui huu hapana, they have to analyze their public image!
Hili ndilo tatizo la maskini 'clausi' akipata ,basi, uanza ku'harisha'
 
Mkuu,

kwa jinsi wanavyofanya kazi yao kuna siku utasikia imefungwa/imefilisiwa maana waongoza vipindi hawaangalii watangazaji wanasema nini kwa maslahi ya nani na wakati gani.

mathalani siku ya kipindi cha siku hiyo ungesikiliza ungetokwa machozi. Kampuni inafanya restructuring iweze kurudi kwenye biashara na kushindana na makampuni mengine na hasa kulipa madeni yake kwa wakati.
hawa mabwana badala yakuangalia pande zote za story walau kubalance. Wao walienda mbali sana kusema shorika lonaelekea kufilisikandio maana wanauza majengo kulipa madeni. Lakini pili walishauri yeyote alioko kwenye bima ya NIC kuangalia sana maana shirika lishauza majengo sasa wanaelekea kusokojulikana

Swali ninalojiuliza uzalendo uko wapi? Tunaijengaje Tanzania yetu kama tunajaribu kuua hata mashirika yanayojitahidi kuwahudumia watanzania?

superbrand wanayojitangaza kwamba wanasupport made in tanzania je mbona hapa ni kinyume na slogan yao?

Clouds family ina maadui wengi pande karibu zote. Hata ukisema eti "mti wenye matunda ndio hupigwa mawe" kwa uadui huu hapana, they have to analyze their public image!
 
Clouds Fm siyo siri ni radin station ambayo MCT na TCRA waingalie kwa umakin
 
Watangazaji wa clouds hawana tofauti mashabiki wa vyama vya siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…