Niccolo Machiaveli anaasema hivi kwenye The Prince.

hapa anamwambia Rais kwamba. kuanzisha mfumo mpya ni kazi ngumu. walionufaika na wazamani watakupinga sana na wengine watakutetea kishingo upande sababu hawana uhakika na uwapelekako.
 
anasema kiongozi inabidi kuwa kauzu na mwenye hila lakini ujue kuficha makucha.
 

Attachments

  • upload_2016-12-28_22-19-19.png
    22.1 KB · Views: 55
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…