Niccolo Machiaveli anaasema hivi kwenye The Prince.

Niccolo Machiaveli anaasema hivi kwenye The Prince.

naipenda sana hii.kuwa neutral kunakukufanya udharaulike. anaanza.
upload_2016-12-28_23-6-17.png


anaendelea.
upload_2016-12-28_23-9-28.png

anamalizia.
upload_2016-12-28_23-11-36.png
 
kuondoa wanafiki ruhusu kukosolewa lakini kulinda heshima, usiruhusu kila mtu akukosoe!🙄.
 

Attachments

  • upload_2016-12-28_23-32-31.png
    upload_2016-12-28_23-32-31.png
    15.7 KB · Views: 134
Kitabu kimejaa point tupu'ngoja nikipakue ntakisoma mdogo mdogo jinsi navopata muda
 
hapa anamwambia Rais kwamba. kuanzisha mfumo mpya ni kazi ngumu. walionufaika na wazamani watakupinga sana na wengine watakutetea kishingo upande sababu hawana uhakika na uwapelekako.
View attachment 451380
Kuna watu wanamuwaza pombe apa,pombe ni tofauti sana na hapa mtu wa hivi huwa anakuwaga na u genus japo watu wanakuwa hamuelew elew lakini wanatarajia huenda ana makubwa huko mbele ila rais wako kafeli for real
 
Back
Top Bottom