Zanzibar+ Seif+Pogba + asipewe huduma ya matibabu nje+ usisaini+ nitawakomesha[emoji3]
Kuna watu wanamuwaza pombe apa,pombe ni tofauti sana na hapa mtu wa hivi huwa anakuwaga na u genus japo watu wanakuwa hamuelew elew lakini wanatarajia huenda ana makubwa huko mbele ila rais wako kafeli for realhapa anamwambia Rais kwamba. kuanzisha mfumo mpya ni kazi ngumu. walionufaika na wazamani watakupinga sana na wengine watakutetea kishingo upande sababu hawana uhakika na uwapelekako.
View attachment 451380
JF KWENYE KILELEunatengeneza tatizo kisha unalitatua ili kupata kiki!
View attachment 451471