Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Sina MkuuHauna mume, mchepuko, boyfriend, toyfriend, ndugu, jamaa au marafiki wa karibu wakushauri?
Nipo Tanzania na sio KenyaSafaricom
Hakuna mtandao utachagua utashindwa kuwasiliana na wateja wako, chagua airtel uipe biashara yako hadhi flani hiviNipo Tanzania na sio Kenya
Yoyote isipokuwa TIGO!Wakuu niko kwenye final process za Kufungua Kampuni, Nahitaji Wadau mnishauri je Niwe na Namba Moja tu ya simu kwa ajili ya Mawasiliano ya Kampuni au niwe na namba zaidi ya Moja?
Na Je nichague mtandao upi wa simu kama namba Kuu ya Kuwasiliana na Kampuni?
Location ni Dar es Salam
Airtel ina hadhi gani mkuu?Hakuna mtandao utachagua utashindwa kuwasiliana na wateja wako, chagua airtel uipe biashara yako hadhi flani hivi
Nakushauri Airtel itakuwa nzuri zaidi....Airtel ina hadhi gani mkuu?