Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Wakuu niko kwenye final process za Kufungua Kampuni, Nahitaji Wadau mnishauri je Niwe na Namba Moja tu ya simu kwa ajili ya Mawasiliano ya Kampuni au niwe na namba zaidi ya Moja?
Na Je nichague mtandao upi wa simu kama namba Kuu ya Kuwasiliana na Kampuni?
Location ni Dar es Salam
Na Je nichague mtandao upi wa simu kama namba Kuu ya Kuwasiliana na Kampuni?
Location ni Dar es Salam