Nichague nini kati ya Advance HGK au Ordinary Diploma Civil Engineering?

Nichague nini kati ya Advance HGK au Ordinary Diploma Civil Engineering?

Computer science,apo akimalza anaweza kubase kwenye software engineer,,machine learning,developer .kifupi computer science ina fursa nyingi hasa xahv kwenye uchumi wa kiditali
 
Kumbe inawezekana kutoka form four na kwenda diploma moja kwa moja eee
 
Kuna dogo niliona nimsaidie kiutani nikamfanyia application za diploma.

Sasa alichaguliwa HGK shule moja moshi ila kule kwenye chuo pia amepata diploma civil engineering.

Hapa anatakiwa afanye maamuzi yatakayoadhiri maisha yake yote..

Juzi anasema computer science Mimi naona akachemshe kichwa huko civil ila naona anasitasita

Hii imekaaje wakuu aende wapi
Ungesema ana One kali alafu kapata PCM au PCB olevo ningekua naushauri tofauti ila kama anataka kwenda kusoma HGK bora akasoma civil.
 
Ungesema ana One kali alafu kapata PCM au PCB olevo ningekua naushauri tofauti ila kama anataka kwenda kusoma HGK bora akasoma civil.
Anayo Two ya mwanzoni na amechaguliwa HGK ila hesabu alipata C, Chemistry B na Physics D
 
Computer science,apo akimalza anaweza kubase kwenye software engineer,,machine learning,developer .kifupi computer science ina fursa nyingi hasa xahv kwenye uchumi wa kiditali
Au baada ya hii course, aende jeshi... Maalum wanahitajigi sana watu wa namna hii
 
Back
Top Bottom