Malengo ya kujenga ninayo kabisa mkuu, ingawa nimepanga kujenga kwa awamu.Kajenge tu ndugu yangu!...... Hayo magari sio issue saaaana
Biashara kubwa ninayoifikiria kwa hali yangu ni ya duka kubwa la dawa za binadamu, na ikiwezekana niwe nayo hata mawili, mjini 1 na kijijini 1.Hii biashara kubwa umefanya research itakuhitaji mtaji wa shilingi ngapi, matazamio ya mapato yako kwenye hiyo biashara kubwa ni kama kiasi gani kwa siku au mwezi? @udochi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu uruhusu ubongo wako ufunguke zaidi ya hapo mkuu!kama ni kwel usemayo
Mheshimiwa,We unawawajua wachaga
Atakwambia nafanya vibarua vibarua huko mjini kumbe lakini ukimchunguza hizo biashara zake sasa
Huyo jamaa mshaurini tu maswala la gari na sio kumtoa akili anajua anachokifanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara kubwa ninayoifikiria kwa hali yangu ni ya duka kubwa la dawa za binadamu, na ikiwezekana niwe nayo hata mawili, mjini 1 na kijijini 1.
Mtaji ni kuanzia Milioni 15,
Changamoto kubwa kwangu ni elimu ya hiyo biashara, na nilijaribu kumuulizia mtu anayefanya hiyo biashara yeye ana maduka ya dawa manne na ni daktari,
Kwa kuwa sina mazoea naye akaniambia kwa kifupi tu kuwa kwa kuwa mimi sina elimu hasa ya masuala ya dawa, itanipa shida sana kwenye usimamizi, kwani nitategemea kuwaajiri watu wanaojua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari zote huwa zinakaguliwa kabla hazijaja na hiyo ni mustMkuu uwe unaangalia na ubora wa gari asee... Sio kila gari iliyopo mtandaoni ni nzima, nyingine ikifika unaanzia kwa fundi. Unaagiza gari haina ac, ina mikwaruzo, haina radio, haina options kamili, tairi unakuta huwezi kuzugia hata mwezi sasa hapo utajidanganya gari bei rahisi kumbe haijakamilika au unakuta engine iliyopo kwenye hiyo gari huwa zinasumbua hivyo gari haziuziki wanaamua kuuza kwa bei ndogo... Ndio maana unakuta killitime hiyo hiyo ya mwaka huo huo ila bei zimetofautiana... Sio wajinga wale
Sio lazima wao kuna sbt japan kuna jan car. Wapo wengi ila chagua wenye ofisi na website zenye magari japanMkuu, kumbe inawezekana kabisa kwenda ofisi za BE FORWARD za hapa kwetu na nikasaidiwa bila shida yoyote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio matapeli ni wezi.
Nitalifikiria kwa kina hili wazo mkuu.Mwongo huyo kwani ye anakaa dukani anauza muda wote? Binadamu wanakatisha tamaa sana. Nakushauri ongeza hiyo mil 5 uanze na hilo moja ndo udundulize toka mangi shop+dawa ndio ununue gari.
Kwasababu ukinunua gari Leo itakuchukua tena miaka miwili kudunduliza upate pesa ya duka la ndoto yako.
Duka la dawa ulitaka kufungua mjini sehemu gani?
Kariakoo, au nje ya Kariakoo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitalifikiria kwa kina hili wazo mkuu.
Lengo nifungue nje ya mji,
Maanake kwa mtaji huo sidhani kama naweza kufungua Kariakoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, huyo kijana ni mtu mwenye taalima ya uuzaji dawa?Ndio Kariakoo huwezi. Fanya hivyo tafuta location unayoiona itakulipa then njo nikupe kijana wangu akusaidie mawazo, mwaka ujao December uwaletee watu mrejesho. Kwani dawa zina faida sana sio tofauti na mangi shop au ni hobby?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, huyo kijana ni mtu mwenye taalima ya uuzaji dawa?
Kuhusu suala la kuwa inalipa sina uhakika, ila nimeona kuwa kwenye upande wa afya kuna uhitaji mkubwa sana kwenye jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toyota mark II Grande GX110 model ya kuanzia 2002 au juu ya hapo kwa 8M tu unaipata ikiwa imenyooka na chenji inabaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli unaweza kununua gari kwa mtu lenye gundu...unakuta gari lilikuwa linatumiwa na wahuni kama danguro la kugegeda wake za watu.Nunua IST nenda BE FORWARD pale wakufanyie mambo january mwshoni utembelee tako...
Usinunue gari bongo raha ya gari kuagiza likitona bandarini unajiona bonge la shujaa halafu linatoka na ki pafyumu flani kinanukia..
Sio ununue hapa mengine ya gundu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mkuu hukumsikia Mh.Makonda kuhusu IST?Shukrani sana mkuu.
Vipi kwa uandishi wangu nikinunua IST kama walivyoshauri waheshimiwa litakuwa na changamoto fulani kwenye kuendesha?
Labda ungenisaidia ufafanuzi kwenye Kipengele cha uhusiano wa aina ya gari na uandishi wangu. Nisaidie mkuu, maanak'e mwanzo siku zote ni mgumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unamshauri jamaa kabisa anunue Jini mafuta!?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
9L ni shetani kabisa. Mi ka 1320cc kuna wakati kananipa headache kiwese na service.