Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Siwezi kuzima dataHaya inuka endelea kuvuna maharage na uzime data huku kwetu sisi kuna njaa
Ukumbuke kusema njaa mkulu wa nchi alikatazaHaya inuka endelea kuvuna maharage na uzime data huku kwetu sisi kuna njaa
Hapana tafuta linginesi jina tu
Haya zima cm mm mida ya kuelekea kuvua migebuka inakaribiaSiwezi kuzima data
NimepitiwaUkumbuke kusema njaa mkulu wa nchi alikataza
Mfano wa utu wema, usiyejua kukasirika, siku moja tu niliiona hasira yako.hahaha mfano wa vipi fakalava
Ndo nimekukumbusha hivyoNimepitiwa
Wacha chuki binafsi wewe tatizo mnakula maharage sana nyama hamtakiHiyo migebuka siipendi hata kidogo na mda wa kuingia ziwani bado
Sio chuki ila sipendi migebukaWacha chuki binafsi wewe tatizo mnakula maharage sana nyama hamtaki
Sio chuki ila sipendi migebuka
Hebu nichane mamy na mimi najiandaa kukushona hapa ....
si unajua fakalava maisha ya jf sio ya kuchukulia serious kila mtu ana tabia yake utakasirikia wangapi humuMfano wa utu wema, usiyejua kukasirika, siku moja tu niliiona hasira yako.
Dagaa natumia ila hapo kwenye mawese hapana labda majirani zangu wa kyela maana nao ni wazalishaji wazuri wa maweseDagaa je hapo vipi na mawese
Kweli, Bangi ikikolea kichwani ni shida tu. Hapo ukimuona yuko stimuuuu. denda linadondoka tu. "teja"Hello members.!
Leo ni siku yako ya kumwambia chochote unachojisikia kumwambia katika nafsi yako, liwe zuri au baya awe tayari kulipokea, kwani leo ni siku ya kuyapokea maoni ya kila mtu humu ili tujirekebishe au kuongeza bidii.
Kwa hiyo MWAMBIE CHOCHOTE UNACHOKIFIKIRIA. Wee mwambie tu usiniogope na hutakiwi kukasirika.
Nianze na mods
Ban- sikuhizi kumekua na ban nyingi sana tofauti na zamani sijui tatizo ninini. Ukiingia jf tu unakutana na ban za kutosha yani kila kona ni ban ban ban ban duhhhhhhhhhhh.
Editing - kuna editing fulani hivi hufanywa na mods yani zimekaa tenge kweli kweli binafsi zinaniboa naona hata hazipendezi .
Saint Ivuga - huyu member huyu alikua na mambo ya ajabu sana kwa kupenda kuleta private issues jukwaani kitu ambacho nadhani si kizuri na ndiomana ikaitwa private message ( pm) na alikua na blah blah nyingi za kichonganishi lakini sikuhiz naona ameanza kubadilika. Safi.
Daby - Huyu nimpongeze kwa kwa kuwashika wadada kupitia hio Avatar yake inawashikaaa ndomana amekua sukari ya warembo MMU
Pia kwa Daby anaonekana kuongea na kila mtu kuchat na kila mtu kutaniana na kila mtu kaka wa watu hana mashauzi. Big up bro.
Wengine..........................
Nitarudi.
Hii ni chitchat jamani.
Karibuni katika nichane day.
Nichane sasa ili nibadilike mm sikufahamu au unaniohopaMondray uliniuz ujue kuniambia namimi nakula....... Sikupendaaa
FaizaFoxy kuwa na roho ya huruma binti wa kiislam na ukumbuke tulipotoka, lainika japo kidogo
Wahenga walisema unaposhikwa shikamana...why hushikamani babe?
Nakuchana....!
Haya nakupa ofa ya kuja kuzifaidi na ugali wa muhogoDagaa natumia ila hapo kwenye mawese hapana labda majirani zangu wa kyela maana nao ni wazalishaji wazuri wa mawese