Nichangie kuhusu DP World / sio mkataba

Nichangie kuhusu DP World / sio mkataba

Marathon day

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
643
Reaction score
1,016
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
 
Unaijua tz huijui wewe,kutokana na tabia zao ndiyo maana watu hawawaaamini tena,watu hawashtakiani ingawa wanaumbuana kuwa wanaiba,watu wanazidisha bei ya manunuzi ,hakuna kinachofanyika,kisa flani mtoto wa mjomba,au shangazi anaachwa pamoja na uharibifu aliofanya,mtu akiwa upande wa hawa jamaa nitamshangaa sana tena sana,bora mungu aje atuchukue wote,maana tuko tayari
 
Watawala wetu hawa siyo. Kilichotokea mbuga za wanyama, migodi, gesi na mafuta. Basi wala usishangae na kujipa matumaini kuwa itakuwa tofauti na kwenye bandari.

Nenda leo mbugani . Ni sawa umeenda taifa jingine na si Tanzania. Migodini pia, ni kweli Tra wapo huko lakini...... mali ile ni ya wawekezaji na si mali ya taifa . Sisi ni kodi tu.
 
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
Yani pamoja na kuwa sijaridhika lakini angalau umekuja na hoja zinazolenga kuonesha mazuri ya bandari na dpw.
 
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
Wanaposema kuuza wanamaanisha mkataba usio na kikomo. Na kwa hilo wapo sahihi coz ukijuliza hawa watu kama uwezo wetu wa Kufanya hivyo kwa sasa ni mdogo kuna siku tutakuwa nao. Watu wanataka kujua lin hiyo huduma itakoma ili na sisi tuweze kuifanya wenyewe. Pili hao wanaosema cjui mizigo inaibiwa na kanisa ni washenz tu na sio kwamba hawajui hicho ulichoandika. Ni wapuuz flan wanaoishi kwa midomo yao hakuna haja ya kuwajibu. Ningeweza kuona kuna umuhim wa kuwajibu kama ingekuwa waliotoa hiyo ni Bakwata. Tungejua ni mkusanyiko wa watu wamekaa wakachambua na kudadavua na kuja na hoja kupitia vifungu vya mkataba . Sasa inashangaza. Wakatoliki wametoa waraka wenye hoja zenye mantiki kwa kupitia vifungu vya mkataba na wakarejelea historical fact jinsi tulivyopigwa mikataba ya nyuma. Anaibuka mpuuz mmoja kaacha hoja kaenda kwenye dini utafikiri hiyo Quran tukufu yenyewe inaruhusu ufisadi.
 
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
Tuseme amekodishiwa sawa,
Je ni kwa kipindi cha muda gani?
 
DP World inapingwa kwa sababu ya matatizo kadhaa. Mambo hayo ni Udini (Waarabu), siasa na ubovu wa mkataba wenyewe. Yote hayo yamehusika kwa kiasi fulani katika hizi kelele.

Kitu naamini DP WORLD asingekua Mwarabu hizi kelele zusingekua kubwa kwa kiasi hiki.
 
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
Umenena vyema.. Ushauri wa mama asiyumbishwe na asiyumbe hiki ni kipimo chake hasa kwenye majaribu.. Asonge mbele.. Ss tupo mbele yake..
 
Kama ni hivyo basi kwanini tusiwape hata Suma Jkt wafanye wao badala ya DPW,, kumbe simple tu,, kwani lazima DPW pekee,, hakuna wengine mpaka tuwang'ang'anie wao,, kuna nini hasa nyuma ya pazia kinachofanya mnashupaza shingo hata msisikie maonyo wa watumishi wa Mungu,,!?
 
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
Unadhuluma ya akili na ufahamu hujui chochote zaidi ya kujaa ufala wa kiwango cha merikebu tena pomoni hasa wewe ni kilaza kwa ujumbe huu
 
Kama ni hivyo basi kwanini tusiwape hata Suma Jkt wafanye wao badala ya DPW,, kumbe simple tu,, kwani lazima DPW pekee,, hakuna wengine mpaka tuwang'ang'anie wao,, kuna nini hasa nyuma ya pazia kinachofanya mnashupaza shingo hata msisikie maonyo wa watumishi wa Mungu,,!?
Huyu kilaza wa kutupwa chooni
 
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
Mtu unayemkodisha anakukaba kwa vifungu kwamba fursa yoyote ya uwekezaji katika bandari atapashwa kwanza kujulishwa yeye. Huyo ni mpangaji huyo.
Huo mgao unaosema watagawana na TRA kuna mahala umeona wamesema ni kwa ratio ipi?
Mimi ninachoamini ni kwamba hakuna mtanzania anayepinga uwekezaji bandarini ila uwe uwekezaji wenye usawa. Watu haturidhiki na vipengele vya mkataba/makubaliano wa TZ vs DPW. Vikibadilishwa vikakidhi matakwa ya pande zote itafaa tu.
 
Unadhuluma ya akili na ufahamu hujui chochote zaidi ya kujaa ufala wa kiwango cha merikebu tena pomoni hasa wewe ni kilaza kwa ujumbe huu
Kumbuka nimesema nachangia ubinafsishaji, sio vifungu vya mikataba , ndg kuwa na Gate za kutosha sio pesa za kitoto! kuwa mashine za kushushia mizigo sio pesa za kitoto, kuwa na links za wateja sio ushawishi wa kitoto!! Ni hilo tu, tujadili hoja kwa hoja.
 
kwa miaka Mingapi... kwa mgawanyo upi wa pato utakaopatikana??
Vivungu vya mkataba sijavigusia, ila kwa mgawanyo wa mapato yakusanyayo na mwekezaji (Handleling charges) totally change nafikiri ni CBM #7 dollars + VAT. Na mwekezaji anachukua kama 70% kama sijakosea na TPA 40%. Na ikumbukwe kodi stahiki, na other charges ( Wharfage ) anakusanya TRA
 
Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji.

Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi kuuza/ kukodisha mipaka ya Inchi . kinacho kodiswa ni usimamizi wa mizigo tu, ikumbukwe Mizigo yote inayoingia Bandarini iko chini ya TRA na BANDARI ni msimamizi wa mizigo tu. Bandari / DP WOULD hawezi kutoa mzigo wowote bila idhini ya TRA. Bandari atabaki kuwa mpokeaji mizigo na mhifadhi mizigo tu.

Kodi yote inapokelewa / Kukusanywa na TRA, Bandari / DP WORLD anachukua Ada / tozo ya kuhifadhi mizigo ( Handling charges tu) na hiyo charge kama ni DP WORLD atagawana na mhifadhi mkuu ambae ni Bandari. Kuna mdau mkubwa wa Dandari anaitwa SHIPER ! Huyu anakusanya mizigo kwa wateja mbali mbali,let's say China, Dubai, UK USA nk , a natafuta meli, na kupakia mizigo kuja Tanzania.

Anatengeneza mchanganuo wa mizigo, huu wa huyu huu wa yule, anaandaa Manifest ya mzigo anamkabidhi msafirishaji MELI. Meli anakuwa na mwakilishi wake nchini, anaitwa Shipping line. huyu atasimamia/ Kuwasilisha manifest kwa TRA na Bandari. TRA atasajili ile manifest ya mizigo ya meli nzima, na kuwasilishea kwa wadau wa Bandari, na kwa Bandari pia/ DP WORLD.

SASA meli imefika , msimamizi wa mizigo BANDARI / DP WORLD , anasimamia mizigo kushuka toka kwenye meli na kuihifadhi kwenye storage yake. Hapo anasubiri Mkusanyaji kodi mkuu TRA ambae ndio msimamiaji mkuu wa mizigo, ikumbukwe huwezi kutoa mzigo wowote bila idhini yake (TRA) MZIGO UMEFIKA, mwenye mzigo ataomba kulipa ushuru kwa TRA na TRA ataratibu kila kitu ikiwepo kuukagua mzigo na kujiridhisha na kukusanya kodi.

MIZIGO YA NCHINI ( LOCAL) mwenye nzigo akishalipia kodi kwa TRA ,atapeea stakabadhi inayomruhusu kuichukua mzigo wake ( RELEASE) mwenye mzigo atakwenda kwa mwakilishi wa mwenye MELI , ( SHIPPING LINE) naye atapokea charge zake na kutoa ruhusa ya mwenye mzigo kupokea mzigo wake ( DELIVERY ODER ) Mwenye mzigo atawasilisha stakabadhi zote mbili, RELEASE ya TRA na DELIVERY ODER ya SHIPPING LINE kwa BANDARI/ DP WORLD , hapo sasa BANDARI/ DP WORLD atatoa charges zake kwa mwenye mzigo ambazo ni HANDLING Charges na kuruhusu mzigo kutoka. na ili utoke getini ikumbukwe Mtoza ushuru mkuu TRA yupo getini kusimamia.

Nauliza swali BANDARI/DP WORLD atahusiswa vipi na upotevu wa kodi wa kanisa na wateja wengine? Nadhani kunahitajika Elimu kidogo ya wachangiaji. Kwa ushindani wa sasa kwa Soko la BANDARI uwekezaji/ upangiswaji wa Bandari hauepukiki.. tuchangie hoja kwa vifungu vya mkataba na nadhani vinazungumzika. Tuache kuhoji Bandar yetu inauzwa, utauzaje Lango la kuingilia nchi? DP WORLD atabaki kuwa mhifadhi na mpokeaji mizigo tu. kama TICKS na Airport ( SWISS PORT) Nawasilisha.
Huu mchango wako Bora ukachangie kwenye vijiwe kahawa.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Tuseme amekodishiwa sawa,
Je ni kwa kipindi cha muda gani?
Hapo ndipo pakujadili, kuwe na ukomo, na vifungu Tata virekebishwe, ila kwa ukodishwaji ni mda muafaka kutokana biashara shindani za Bandari . Na kupata mtu mwenye ushawishi na waleta mizigo ( Shiper ) Sina mashaka na DP would.
 
Unaijua tz huijui wewe,kutokana na tabia zao ndiyo maana watu hawawaaamini tena,watu hawashtakiani ingawa wanaumbuana kuwa wanaiba,watu wanazidisha bei ya manunuzi ,hakuna kinachofanyika,kisa flani mtoto wa mjomba,au shangazi anaachwa pamoja na uharibifu aliofanya,mtu akiwa upande wa hawa jamaa nitamshangaa sana tena sana,bora mungu aje atuchukue wote,maana tuko tayari
Umeongea ukweli mkuu [emoji419][emoji419][emoji419]
 
Back
Top Bottom