Nicheke au nilie?

ila mkae mkujua kwa mila nyingine mke wa mtoto wa kiume kumwona baba wa mumewe akiwa uchi ni laana na akijua mumewe kuwa mkewe alimwona babake uchi italeta matatizo, kwa mtazamo wangu amwoondowe yule binti na asimeleze mumewe kabisa hicho kisa
 
ila mkae mkujua kwa mila nyingine mke wa mtoto wa kiume kumwona baba wa mumewe akiwa uchi ni laana na akijua mumewe kuwa mkewe alimwona babake uchi italeta matatizo, kwa mtazamo wangu amwoondowe yule binti na asimeleze mumewe kabisa hicho kisa

Naunga mkono hoja, sio heshima kumwambia mumewe kuwa kamuona b'mkwe akiwa mtupu, amtoe huyo house maid kimya kimya...
 

Hapo kwenye bold ndo issue, ila ni muelewa, ntajaribu. Asante kwa ushauri
 
ondoa huyo dada atatembea hata na mumeo huyo
kuhusu baba mkwe piga kimya maana akitolewa hapo ndo utaanza maneno na ndugu za mumeo oooh ulimfukuza baba yao mgonjwa .utayaweza
timua iyo changudoa
 
Sijiheshimu na sijatulia kivipi?Mbona mie hata hiyo avatar sijaiweka?Loh

Eti mwaya, mi mwenyewe nimerudi juu mara mbili mbili kuangalia hiyo avatar sijaona. Labda hajapenda jina la "Kipapatio" ndo anasema avatar.
 
Sipati picha kitatokea nini kama mumewe pia alikuwa anajimegea huyo hausigelo....
 
ukimuondoa dada wa kazi, babu atakutaka wewe, la msingi mlete mamkwe after a week warudi bush.
 
ukimuondoa dada wa kazi, babu atakutaka wewe, la msingi mlete mamkwe after a week warudi bush.:shock:






 
HIYO NI LAANA MBAYA,
Mjulishe Mumeo Haraka, Lakini pia Huyo Binti kuwa mwangalifu sana nae, asije kuvunjia na nyumba yako

Hekima Itumike kumwondoa kwanza Baba ndipo uje ujue namna ya kumwondoa na Binti

Ikikosekana HEKIMA, Tatizo jingine linaweza zaliwa ktk Familia hiyo
 
duh... hii kweli bongo kupita unavyoijua... sasa kibabu cha miaka 70..!!! mimi na umri wangu umekwenda lakini huyo wa miaka 60 tu sitaki kumsikia.
Ningekua mimi ndio wewe, the same morning ningemuita mwanae aje ashukudie mwenyewe kwa macho yake. kumbuka yule ni baba yake mzazi, huwezi kujua ataichukulia vipi ukimwambia. anaweza asikuamini akichukulia baba ni mgonjwa na umri alionao. Sisi tulioolewa mara nyingi tunaonekana hatupendi upande wa waume zetu, hivyo unaweza kumwambia mumeo na asikuamini.
 
Naona nilijibu kwa kushangaa mpaka nikashindwa kukupa ushauri.
Kama walivyosema wengine naona, angalia jinsi ya kuongea na mumeo, binti wa miaka 16 ni mdogo sana, hilo libabu litakua limemdanganya tu. Babu arudi kwa mkewe aache kujifanya mgonjwa kisa ana baka vitoto vya watu.
 

dah madoctor wana ushauri mzuri kweli
 
mwache babu nae apate mashamushamu,duh ila dunia imeisha hicho kitoto cha miaka 16 kina tembea na mzee khaa,
 

namini nakubaliana na wewe,atunze rohoni alafu mpeleke kwao housegirl alafu mlete HOUSEBOY nyumbani.kazi kwisha,kusema kwa mumeo kuna mawili kuaribu au kujenga.
 
huyo ba mkwe inawezekana ameponeshwa na huyo mdogo wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…