Nicholas Musonye ni Katibu wa Milele wa CECAFA ?

Musonye yupo makini sana sema wa bongo na ukweli ni mtu na mkwe wake hawakai pamoja
 
Musonye ni sawa na Mbowe tuu yaani sijui hii cecafa ni ya baba mkwe wake naye. Sitaki povu pita kimya kimya.
 
Nje ya mada
Umwenyekiti wa kudumu wa Mbowe hauna tofauti na ukatibu wa kudumu wa Musonye

Sasa mnasubiri hadi nini kitokee ili mjue Mbowe amefeli kukiongoza chama?
Angalia amesababisha Chadema kufeli tangu 2015 na 2019 uchaguzi serikali za mitaa lakini badala mmwambie ajiuzulu mnamchekea

Subirini 2020 mjitoe tena uchaguzi sawa ee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaleta upuuzi kwenye mada isiyohusiana na upuuzi unaoozungumzia.
Bogus
Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Kila mahali siasa, kuna muda wa ku-relax bhana! Mbona mi tangu nazaliwa nasikia Ccm tu ikitawala? Nenda jukwaa la siasa ukarumbane huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zidumu fikra za mwenyekiti Mbowe 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…