challenger srt8 hapa hapa kwa Maghufulihahaha dodge charger??? una hatari ww labda mtoto wa bakhresa ndo anaweza nunua
Hio labda anunue babu yake Lowassa maana ni Zimba na ndio ana jeuri hiyochukua bentley bentayga
Weka picha tuione.Chukua suzuki every, cc 660..
mafuta lita moja unatumia wiki na misele unapiga kama kawa
Inanyonya wese hiyoBeba harrier itakufaa
Yaani ni sawa na mtoto anayejitahidi kusimama unamuweka kwenye mbio za mita 3000hahaha dodge charger??? una hatari ww labda mtoto wa bakhresa ndo anaweza nunua
Brevis,harrier new model,mark x.Asanteni sana
Samahani kama ntakuudhi sina wivu maana hata mimi nina gari,hyo Altezza kama iko vzr endelea kuitumia na hiyo pesa ulonayo ifanye izae kibiashara ili mwisho wa siku uwasaidie wahitaji,huku mitaani hali ni mbaya kiuchumi kwa waTanzania.ni mwajiliwa pekee tu ndo anaweza akashindwa kunielewa nachomaanisha kwa sababu yeye ana uhakika na anaweza akachelewa kujua vyema hali ya kiuchumi nje ya box la ajira.nisamehe kwa ushauli unaoweza kukukwaza!Wakuu mambo vepee!
Kama ambavyo mnajua, nimekuwa nikiendesha hii gari kwa muda wa miaka 2 na nusu. Nadhani huu ni muda muafaka wa kutoka kwenye Altezza.
Mnanishauri nichukue gari gani?
NB: Siuzi gari.
Natanguliza shukrani.
Mbona ushauri mzuri tu huu.Samahani kama ntakuudhi sina wivu maana hata mimi nina gari,hyo Altezza kama iko vzr endelea kuitumia na hiyo pesa ulonayo ifanye izae kibiashara ili mwisho wa siku uwasaidie wahitaji,huku mitaani hali ni mbaya kiuchumi kwa waTanzania.ni mwajiliwa
pekee tu ndo anaweza akashindwa kunielewa
nachomaanisha kwa
sababu yeye ana uhakika
na anaweza akachelewa
kujua vyema hali ya
kiuchumi nje ya box la
ajira.nisamehe kwa
ushauli unaoweza
kukukwaza!
Infinity Q60Wakuu mambo vepee!
Kama ambavyo mnajua, nimekuwa nikiendesha hii gari kwa muda wa miaka 2 na nusu. Nadhani huu ni muda muafaka wa kutoka kwenye Altezza.
Mnanishauri nichukue gari gani?
NB: Siuzi gari.
Natanguliza shukrani.
Price?Infinity Q60
Mkuu, Mark X Brevis Verosa Grande ni Magari ya mpito tu. Ukikaa nalo miaka 2 linashuka sana bei.Brevis,harrier new model,mark x.