Nichukue gari gani?

Nichukue gari gani?

hahaha dodge charger??? una hatari ww labda mtoto wa bakhresa ndo anaweza nunua
challenger srt8 hapa hapa kwa Maghufuli

bc292046f9cdf41c7d32aa58a9223b35.jpg
 
Wakuu mambo vepee!

Kama ambavyo mnajua, nimekuwa nikiendesha hii gari kwa muda wa miaka 2 na nusu. Nadhani huu ni muda muafaka wa kutoka kwenye Altezza.

Mnanishauri nichukue gari gani?

NB: Siuzi gari.

Natanguliza shukrani.
Samahani kama ntakuudhi sina wivu maana hata mimi nina gari,hyo Altezza kama iko vzr endelea kuitumia na hiyo pesa ulonayo ifanye izae kibiashara ili mwisho wa siku uwasaidie wahitaji,huku mitaani hali ni mbaya kiuchumi kwa waTanzania.ni mwajiliwa pekee tu ndo anaweza akashindwa kunielewa nachomaanisha kwa sababu yeye ana uhakika na anaweza akachelewa kujua vyema hali ya kiuchumi nje ya box la ajira.nisamehe kwa ushauli unaoweza kukukwaza!
 
Samahani kama ntakuudhi sina wivu maana hata mimi nina gari,hyo Altezza kama iko vzr endelea kuitumia na hiyo pesa ulonayo ifanye izae kibiashara ili mwisho wa siku uwasaidie wahitaji,huku mitaani hali ni mbaya kiuchumi kwa waTanzania.ni mwajiliwa
pekee tu ndo anaweza akashindwa kunielewa
nachomaanisha kwa
sababu yeye ana uhakika
na anaweza akachelewa
kujua vyema hali ya
kiuchumi nje ya box la
ajira.nisamehe kwa
ushauli unaoweza
kukukwaza!
Mbona ushauri mzuri tu huu.
 
Wakuu mambo vepee!

Kama ambavyo mnajua, nimekuwa nikiendesha hii gari kwa muda wa miaka 2 na nusu. Nadhani huu ni muda muafaka wa kutoka kwenye Altezza.

Mnanishauri nichukue gari gani?

NB: Siuzi gari.

Natanguliza shukrani.
Infinity Q60
 
ᴄʜᴜᴋᴜᴀ ᴅᴄɪᴍ ɴᴀᴢᴏ ɴɪ ɴᴢᴜʀɪ ɪᴛᴀᴋᴜsᴀɪᴅɪᴀ ᴋᴡᴇɴʏᴇ ᴍɪᴢɪɴɢᴜᴋᴏ ʏᴀᴋᴏ ᴋᴀᴍᴀ ᴅᴀʀ
 
Back
Top Bottom