Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Shukrani.....huwa napenda michango yake humu...
Sasa nikiangalia picha yake inanipa utata....
Sasa nikiangalia picha yake inanipa utata....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unaweka passo ya nini hapo?Nipo upcountry then nina family ya two kids
Kwani passo bado zinatengenezwà?Mnaosema Voltz ni gari nzuri mnatumia vigezo gani?!?! Maana Toyota walishaacha kuyatengeneza mwanzoni mwa miaka ya 2000!!!
Anyway, according to Kidukulilo hayo sio magari, ni takataka flani hivi
bahati mbaya sana wooote wanakushauri wana wivu......ni watu wanaootea wenzao umaskini !unamshaurije mwenzako anunue PASSO AU VITZ wakati hela yake inamruhusu kununua Harrier?
Swala la mafuta/petrol ni wazo la kimasikini tu ....Harrier ni tshs.20m ....petrol full tank ni tsh.ngapi?
Chukua voltz,ila bei isizidi m 8Watu8 Nipo upcountry then nina family ya two kids
[emoji23] uzi upi huo mkuu?Cha ajabu huyo kiduku alikua anaulizia mafundi huko Tabata gx 110 yake miguu ya mbele inagonga.
Sasa sijui hio gx110 yake ni usafiri au gari?
Huu hapo mzee baba.[emoji23] uzi upi huo mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo kiduku lazima ashikwe na mshipaHuu hapo mzee baba.
Nimehamia Tabata, tafadhali nipatieni fundi mzuri wa magari
Nimesogea mitaa ya Bata, Tabata. Wadau gari yangu ni Toyota mbele chini inagonga. Nilikuwa naishi mitaa flani barabara mbaya sana inagonga kama watu wanapiga ngoma ya mdundiko. Natafuta fundi mzuri wa kuondoa kelele zooooote za chini kwa bei nzuri, maana fundi wangu yupo Kimara, ni mbali na...www.jamiiforums.com
Alijisahau itakua 😃Huu hapo mzee baba.
Nimehamia Tabata, tafadhali nipatieni fundi mzuri wa magari
Nimesogea mitaa ya Bata, Tabata. Wadau gari yangu ni Toyota mbele chini inagonga. Nilikuwa naishi mitaa flani barabara mbaya sana inagonga kama watu wanapiga ngoma ya mdundiko. Natafuta fundi mzuri wa kuondoa kelele zooooote za chini kwa bei nzuri, maana fundi wangu yupo Kimara, ni mbali na...www.jamiiforums.com
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo kiduku lazima ashikwe na mshipa
Hahah nimehuzunika sana.Alijisahau itakua [emoji2]
Jamaa mbwembwe zile kumbe hamna kitu,yan hata mimi nimehuzunika sanaHahah nimehuzunika sana.
Jamaa mbwembwe zile kumbe hamna kitu,yan hata mimi nimehuzunika sana
Halafu washashi kila wakichangia lazima wammention hahahaaHahah hii post hua anairuka kama haioni hivi.