Nichukue hatua gani hapa?

mpe ukweli usiogope,haina haja ya ugomvi
 
huyo mpwa anatamaa sana kwa hiyo wewe mpe live iliajue kama wewe unajua
 
huyu demu kesha kutest na umeingia mkenge utarajie kusumbuliwa mpaka kupigwa chini si kitambo.Usimwamini mwanamke wa umri huo hata siku moja utariai wewe
 
Hakuna haja ya kuwaeleza ndgu. Wewe mwenyewe unauwezo wa kumweleza. Mkalishe chini mpige somo, nadhani atakuelewa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…