Diplomat Niwe
JF-Expert Member
- Apr 22, 2014
- 231
- 215
Binafsi ni mwanachuo cha utabibu (clinical officer) mwaka wa tatu, naomba ushauri wenu ni kipi bora nichukulie degree kati ya mental health and rehabilitation na medical doctor(MD)? baada ya kumaliza masomo yangu mwaka huu!!
NB: Matusi na kejeli hazitasaidia kunijenga!!!!
SHUKRAN
NB: Matusi na kejeli hazitasaidia kunijenga!!!!
SHUKRAN