Nichukue wasaa huu kuwapongeza Mwanza city council jinsi wanavyofanya kazi

Nichukue wasaa huu kuwapongeza Mwanza city council jinsi wanavyofanya kazi

EXODUS ZION

Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
95
Reaction score
149
Ndugu wadau habari za muda huu. Ukifika mwanza sekour tour wenyewe wanakuita seketule 😂 utakutana na Halmashauri ya jiji la mwanza wale jamaa kwa kweli wako vizuri sana.

Wanafanya kazi ipasavyo sio kazi tu wanamshikamano, wananguvu, wachapakazi ani kila kitengo pale wako vizuri sana hasa kitengo cha biashara wanajitahidi sana kufanya kazi. Ukiachana na madhaifu mbalimbali sababu kila kizuri hakikosi kasoro aisee mi nawapongeza sana

Mdau siku ukienda mwanza jaribu uende utembee tembee pale Halmashauri ya jiji la mwanza
 
Ndugu wadau habari za muda huu. Ukifika mwanza sekour tour wenyewe wanakuita seketule 😂 utakutana na Halmashauri ya jiji la mwanza wale jamaa kwa kweli wako vizuri sana.

Wanafanya kazi ipasavyo sio kazi tu wanamshikamano, wananguvu, wachapakazi ani kila kitengo pale wako vizuri sana hasa kitengo cha biashara wanajitahidi sana kufanya kazi. Ukiachana na madhaifu mbalimbali sababu kila kizuri hakikosi kasoro aisee mi nawapongeza sana

Mdau siku ukienda mwanza jaribu uende utembee tembee pale Halmashauri ya jiji la mwanza
Umeongea general sana,kuwa specific walikufanyia nn mpaka uone wanafanya kaz vzr, kumbuka we ni mteja ambaye hushindi nao,unless ni mfanyakazi au wamekutuma.
 
Ndugu wadau habari za muda huu. Ukifika mwanza sekour tour wenyewe wanakuita seketule [emoji23] utakutana na Halmashauri ya jiji la mwanza wale jamaa kwa kweli wako vizuri sana.

Wanafanya kazi ipasavyo sio kazi tu wanamshikamano, wananguvu, wachapakazi ani kila kitengo pale wako vizuri sana hasa kitengo cha biashara wanajitahidi sana kufanya kazi. Ukiachana na madhaifu mbalimbali sababu kila kizuri hakikosi kasoro aisee mi nawapongeza sana

Mdau siku ukienda mwanza jaribu uende utembee tembee pale Halmashauri ya jiji la mwanza
Wewe mwenyewe umekosea kuandika halafu unawakosoa watu wa Mwanza.
 
Ndugu wadau habari za muda huu. Ukifika mwanza sekour tour wenyewe wanakuita seketule 😂 utakutana na Halmashauri ya jiji la mwanza wale jamaa kwa kweli wako vizuri sana.

Wanafanya kazi ipasavyo sio kazi tu wanamshikamano, wananguvu, wachapakazi ani kila kitengo pale wako vizuri sana hasa kitengo cha biashara wanajitahidi sana kufanya kazi. Ukiachana na madhaifu mbalimbali sababu kila kizuri hakikosi kasoro aisee mi nawapongeza sana

Mdau siku ukienda mwanza jaribu uende utembee tembee pale Halmashauri ya jiji la mwanza
Nasikitika kwamba moja ya miji yenye ujenzi holela kabisa Tanzania ni Mwanza. Kila nikipita nikipita Mwanza na jiuliza kama kuna viongozi, maafisa mipango mji na maafisa ardhi! Imekuaje vilima vizuri vya Mwanza wananchi wameachiwa kujenga nyumba za mabanda??


Jiji Mwanza kazi yenu ni nini?? Jiji Mwanza ukiondoa barabara ya kwenda Mwanza Airport barabara nyingine ni vichochoro vilivyo jaa foleni asubuhi na jioni! Maeneo ya wazi karibu yote wamevamia manyangau wa ardhi.
Terminal ya Airport Mwanza ni aibu tupu!
Viongozi na watendaji Mwanza radishes hadhi ya Mwanza bila hivyo mtaendelea kupoteza status ya jiji namba 2 baada ya Dsm kama hamjaondolewa ktk hiyo nafasi na jiji la Arusha!
 
Hakuna Halmashauri ya Ovyo kwa Mwanza kama Nyamagana (Mwanza CC)

Akili zao wote ndogooooo
 
Back
Top Bottom