"Usiwachukie waliokukacha, ni ulimbukeni na ndoto zao za alinacha" - Roho 7
"Hata niwe kipofu ntaandika kila kitu, MaRapper wabovu ndo huwa wanasifika kila siku" - Songa
"Wanataka niache ngumu nibane pua, ninyoe kiduku ndo niwe msanii wanaemtambua" - One
"Na speak truth, kwamba mwamba wakaskazini ni Fid Q" - One
"Najua mnajua kuwa najua, ila hamuwezi nichukua kwenye tuzo mnazochukua msiojua" - Azma
"Wanasema siskiki kwenye redio, kwanini ?
nawajibu kaulize wenye redio" - Songa
Tamaduni Muzik it's all about addiction.
Tanzanians mind(s) has been brainwashed by nonsense music, that's why, it will take a long to reinvent it.