NIDA bado tatizo: Wafanyakazi wa NIDA wanachukulia watanzania hatuna akili

bro kuwa na maono kidogo! hao jamaa hawatokuja kamwe kutoa vitambulisho! walitaka tu kuingiza watu kwenye database
 
Kuna shida sana NIDA.
Ukienda kwenye ofisi zao kupata huduma unaonekana kama kinyago fulani.
Hivi wakubwa hawaoni tatizo kule NIDA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…