NIDA IIala ni aibu na fedheha kwa Serikali

NIDA IIala ni aibu na fedheha kwa Serikali

Atclkwanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2015
Posts
823
Reaction score
998
Wadau nimekuwa nikifuatilia kitambulisho changu cha uraia tangu mwaka jana, Kila siku umekuwa danadana.

Kilichonifanya nilete Uzi huu no uzembe wa mamlaka pale unapokatika umeme kushindwa kutimiza majukumu yao kwa kisingizio cha kukatika umeme wakati wanayo standby generator. Nilipouliza kwanini hawajawasha generator nikajibiwa ni mbovu.

Kweli office nyeti kama NIDA wameshindwa kutengeneza generator, hii ni aibu na uzembe wa hali ya juu.
 
Viongozi wakiongea kwenye vyombo vya habari
Kuhusu vitambulisho NIDA utasema vinatolewa papo hapo.... Nenda hapo kwenye mchakato Sasa uone mziki wake

Ova
 
Sasa unataka wawashe jenereta kwa ajili yako alafu ukiondoka walizime au acha kulaumu ndugu
 
Back
Top Bottom