Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Uzito wa kufikiria tulicha ya kuwa na kitambulisho Cha taifa bado kuna sehemu ukienda unaombwa barua ya utambulisho.
Ina kera sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzito wa kufikiria tulicha ya kuwa na kitambulisho Cha taifa bado kuna sehemu ukienda unaombwa barua ya utambulisho.
Ina kera sana
Kitengo cha passport ndio kinatakiwa ku intergrate na NIDA, sababa NIDA tayari anayo hiyo serviceTunashukuru ku intergrate NIDA na kampuni za Simu ambapi unaweka dole gumba tu taarifa za NIDA zinakuja
Vipi kuhusu wao NIDA ku intergrate taarifa zao na kitengo cha Passport wata intergrate lini au wamshaintergrate ?
Maana mtu unaenda na mizigo ya hard copy wakati wange intergrate ingekuwa kazi rahisi ya sekunde tu kuhudumia
Hakuna mtu anazuia mtu kula.Wale ila wafanye kazi ya kuonekana hasa kila mwananchi aoneWanatengeneza mlo tu
Hizo hela wanazotaka wajengee vyoo
Rubbish
Nani kakuambia NIDA wanatoa vitambulisho Kwa foreigners? Tafuta work permit ili usiishi nchini kama digidigi.Tangu 2018 mpaka leo kitambulisho changu sijapata....
Mbwa hawa
Sawa.Dar es Salaam. The National Identification Authority (Nida) says it is working on a national identity smartcard that would do away with the need to have multiple IDs.
Currently, Tanzanians have several identification documents, including the national ID, driving licence, health insurance ID, social security fund membership card, employment ID, transport fare cards, and bank cards, among others.
Access multiple services
But Nida director general Edson Guyai said the weekend that the proposed smartcard would allow holders to access multiple services, including finance, transport and insurance.
Mr Guyai made the revelation when speaking on the television station UTV during a programme marking President Samia Suluhu Hassan’s one year in office.
“We plan to reduce the number of IDs through issuance of a smartcard ID, which will add value to the existing one,” he said.
“We want it to be recognised as an ATM card, and insurance and licence document that will enable citizens to conveniently access services,” Mr Guyai added.
He said as part of efforts to implement the plan, Nida had started to integrate various identification systems in both public and private sectors.
“So far we have succeeded in integrating at least 52 identification systems from various sectors that will help to eradicate the challenges encountered in accessing essential services.”
On Nida’s achievements since President Hassan came into office on March 19, 2021, Mr Guyai said: “We are proud to have registered one million people, provided identification numbers to 1.3 million people, and issued three million IDs”.
For his part, Higher Education Students’ Loans Board (Heslb) executive director Abdul-Razaq Badru said smartcard IDs would help the agency to establish the location and activities of loan beneficiaries.
“This will enable us to have a more accurate database. We will be able to know exactly where loan beneficiaries are, and what they are doing for a living, including their employment centres,” he said
Transport Regulatory Authority (Latra) director general Gilliard Ngewe said the system would tackle long-standing challenges associated with consumer identification.
He added that the smartcard IDs would facilitate issuance of electronic tickets.
“This will help in the implementation of electronic tickets plan, which will require citizenship ID numbers of recipients, and make it possible, for example, to know exactly how many passengers were in a vehicle in case of an accident,” he said.
Customers’ particulars
The commissioner of insurance, Dr Baghayo Saqware, said the use of tghe proposed smartcards would make it easier to get customers’ particulars.
“The challenge we now face in positively identifying insurance clients is that a lot of IDs from the customer are required, but this will be history once the smartcards come into operation in addition to cutting operating costs and bureaucracy,” he said.
Mr Guyai noted that provision of national IDs had vastly improved over the past year during which Nida produced 3 million IDs, which is more than a quarter of the total number of documents issued by the agency since its establishment.
Source: The Citizen
😂🤣 Kuna rafiki yangu yeye alijaza kwamba yeye mwenyewe alimshuhudia baba yake kuzaliwa. Baba yake alishafariki miaka 10 myuma. Wakakubali na kuprocess passport yake.Ninatumaini hii itawasaidia Mamlaka ya kutoa passport kuacha kudai umlete aliyeshuhudia baba yako akizaliwa - wakati wewe mwombaji una miaka 60!
Wajieleze kivipi wakati wewe ndie utaenda kuzitaka mfano unataka jisajili line ya simu unawapa kitambulisho champ cha NIDA na dole lako gumba ndipo zinakujaNIDA wajitokeze watuambie ni sheria ipi itamlinda mwananchi dhidi ya matumizi mabaya ya taarifa zake??