NIDA wamenijibu kuwa hawana mpango wa kutoa vitambulisho vya Utaifa tena

NIDA wamenijibu kuwa hawana mpango wa kutoa vitambulisho vya Utaifa tena

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho.

Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa.

Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku NIDA wakiendelea kutuvimbia wananchi?
 
yan NIDA imekua kama kitu cha magendo, wanatoa kwa kuvizia
 
Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho.

Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa.

Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku NIDA wakiendelea kutuvimbia wananchi?
Kila rais aliejaribu hili zoezi alifeli!

MTANZANIA KUTAMBULIWA KWA KITAMBULISHO NI LAANA!!
 
Wanakuja na toleo jipya la E cards 😃😃 wallah hii nchi watu wanakuja na miradi hewa na hapo walimsafisha Lugumi .

Meko akiweza kabisa kumsafidha Lugumi na kusema alisupply mashine kwa ufasaha za vitambulisho.

Wizi Kama wizi haitaidha hii nchi pamoja mnamsema eti alikuwa mzalendo Ila wizi wake ulikuwa wa kitaalamu sana na mpaka leo watu wapowapo tu hawastuki.
 
Mkuu,mimi nafikiri hakuna haja ya kuwa na Printed ID badala yake iwepo tu namba ya NIDA ambayo inaprintiwa tu kama TIN number ikiwa na PICHA yako.Kisha Biometrics zitumike kutambua mtu
 
Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho.

Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa.

Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku NIDA wakiendelea kutuvimbia wananchi?
 
Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho.

Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa.

Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku NIDA wakiendelea kutuvimbia wananchi?
Vitambulisho vinaendelea kutolewa kama kawaida katika ofisi zote za usajili za Wilaya nchini. Lakini pia vilivyopelekwa katika ofisi za watendaji wa vijiji na Serikali za Mitaa vinatolewaNi ofisi ya Wilaya gani hiyo uliyoenda Mkuu ukaambiwa hawatoi tena? labda kama walikuambia kuwa hakijachapishwa au hakijawafikia hapo ofisini ili kukitoa kwako kama mhusika hapo sawa. Lakini si kwamba hakuna mpango wa kutoa Vitambulisho vya Taifa tena , hiyo si kweli. Yawezekana aliyekujibu hakuwa mtumishi.
 
Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho.

Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa.

Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku NIDA wakiendelea kutuvimbia wananchi?
Mkuu, waache tu wakae nacho. Kwa hali ilivo ngumu sasa hv, hata wakikupa, ukienda nacho kwa mangi bei haipungui. Kama hata namba wamekunyima hapo anzisha tifu. Tofaut na hapo kaa na namba yako fanya mambo mengine.
 
Wamechukua 20,000 yangu na usumbufu mwingine mwingi ila mwaka wa 3 huu sasa bado nawasikilizia tu.
 
Back
Top Bottom