Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Kwakweli nida nikeerooo mpaka mboso kawaimbia ndokwaaanza tunajidaaiiii Kama afisa waniiida hahaaaa
Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho.
Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa.
Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku NIDA wakiendelea kutuvimbia wananchi?