NIDA wamenijibu kuwa hawana mpango wa kutoa vitambulisho vya Utaifa tena

Kwakweli nida nikeerooo mpaka mboso kawaimbia ndokwaaanza tunajidaaiiii Kama afisa waniiida hahaaaa
 
Mi nilifuatilia pale kawe mpaka nikakata tamaa.

Cha kura utakipata hapo hapo.
 
Mkono mtupu haulambwi wale jamaa wananjaa sana ukiwawekea chambo tu ndani ya siku tatu tu unapata kitambulisho.
 
Ilihali taasisi nyingi hazipokei number ya Nida bila kitambuisho kamili...
 
Ofisi ya Wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…