Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho.
Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa.
Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku NIDA wakiendelea kutuvimbia wananchi?
Kupata hii nida unatoa hela?
Nipe connection hata ya hela mradi nikipateMkono mtupu haulambwi wale jamaa wananjaa sana ukiwawekea chambo tu ndani ya siku tatu tu unapata kitambulisho.
Kila Kitu ni fursa, MTU mwenyewe si anaweza kuingia mwenyewe akadownload.mwelekeze tu mwenzioKuna jamaa angu anadownload hzo copy chap kwa 10000 nicheck 0715058481
Ofisi ya Wilaya ya Arumeru Mkoa wa ArushaVitambulisho vinaendelea kutolewa kama kawaida katika ofisi zote za usajili za Wilaya nchini. Lakini pia vilivyopelekwa katika ofisi za watendaji wa vijiji na Serikali za Mitaa vinatolewaNi ofisi ya Wilaya gani hiyo uliyoenda Mkuu ukaambiwa hawatoi tena? labda kama walikuambia kuwa hakijachapishwa au hakijawafikia hapo ofisini ili kukitoa kwako kama mhusika hapo sawa. Lakini si kwamba hakuna mpango wa kutoa Vitambulisho vya Taifa tena , hiyo si kweli. Yawezekana aliyekujibu hakuwa mtumishi.