NIDHAMU: Wasimamishwa chuo mwaka mmoja kwa kukutwa na kibomu

John porter

Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
65
Reaction score
28
Chuo cha utumishi wa umma tawi la Mtwara chasimamisha wanafunzi wake kimasomo kwa muda wa mwaka mmoja wakiwemo wawili waliokuwa semista ya mwisho kwa kosa la kukutwa na chabo ndani ya chumba cha mtihani..
 
Chuo cha utumishi wa umma tawi la Mtwara chasimamisha wanafunzi wake kimasomo kwa muda wa mwaka mmoja wakiwemo wawili waliokuwa semista ya mwisho kwa kosa la kukutwa na chabo ndani ya chumba cha mtihani..
  • Hawa wanabahati kwamba wamesimamishwa masomo.
  • Vyuo vingine(baadhi) kosa hilo huwa ni kufukuzwa chuo na wala huwa hakuna mjadala wala kesi, unakuwa hauna chuo kabisa.
 
  • Hawa wanabahati kwamba wamesimamishwa masomo.
  • Vyuo vingine(baadhi) kosa hilo huwa ni kufukuzwa chuo na wala huwa hakuna mjadala wala kesi, unakuwa hauna chuo kabisa.

Kama warumi a.k.a waroma a.k.a wakatholiki na lile lichuo la SAUT unasepeshwa kimoja home kuna watu wana huruma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…