Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Hahahaha what a happy ending.. namuonesha wifi yako Joanah hii comment.Hizo ngoko mie binafsi siipendi, na sijawahi kuila.
Anyway osha na maji safi kisha weka ndimu tangawizi, pilipili manga, swaumu curry powder chumvi kama unatumia na pilipili pia weka
Ichemshe.
Ikiiva ipua.
Deep fry mpaka iwe brown...
Halafu anza kutafuna tafuna.
Siwezi kula miguu ya kuku hata mara moja
Nimekuelewa mama wätoto. Sasa unashaurije?Siwezi kula miguu ya kuku hata mara moja
Chakula yenu hio wanaume wa Daslam😅😅He heeeeh! Maake apo kwanza ncheke 😅
😏😏😏 yaani mapaja yaliwe wapi mpaka wewe ununue miguu?
Mwenyewe siipendi...Na Vichwa[emoji57]Hizo ngoko mie binafsi siipendi, na sijawahi kuila.
Anyway osha na maji safi kisha weka ndimu tangawizi, pilipili manga, swaumu curry powder chumvi kama unatumia na pilipili pia weka
Ichemshe.
Ikiiva ipua.
Deep fry mpaka iwe brown...
Halafu anza kutafuna tafuna.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siwezi kula miguu ya kuku hata mara moja
Sina ushauriNimekuelewa mama wätoto. Sasa unashaurije?
Ushawahi kuzaa bila kupandwa?Mwenyewe siipendi...Na Vichwa[emoji57]
Tena bora kuku wa kienyeji kuliko hawa wasio na Baba[emoji3]
Unamuuliza nani?Ushawahi kuzaa bila kupandwa?
Upo kama mimi aisee, miguu ya kuju sijui utumbo, kichwa hapana, vinipite mbali kabisaSiwezi kula miguu ya kuku hata mara moja
Yani kwanza haimake sense...mtu anakulaje miguu ya kuku aseeUpo kama mimi aisee, miguu ya kuju sijui utumbo, kichwa hapana, vinipite mbali kabisa
Baba wanae ila Hawana mashangaziMwenyewe siipendi...Na Vichwa[emoji57]
Tena bora kuku wa kienyeji kuliko hawa wasio na Baba[emoji3]