Nielekezeni mapishi Bora na ya kuvutia ya miguu ya kuku

[emoji57][emoji57][emoji57] yaani mapaja yaliwe wapi mpaka wewe ununue miguu?
Wazungu ndiyo wanakula mapaja
Mbona samaki wanachukua minofu mnabaki na mapanki??
 
Mkuuuuuuuuuuu aaah[emoji74][emoji74]
Iyo chemsha na ndimu na kitunguu swaum
Pilipili na carrot [emoji1647]
Vyote hivyo saga
Usiache kitunguu maji pia
Kama una viaz mvilingo weka pia meishoni miguu ikishaiva pamoja na hoho
Afu itafutie pozi igongeeeeee ukishushia na coka bariiidi kabisa[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
 
Sorry i mean no dis respect..But miguu ya kuku mtu unakulaje??[emoji17]
 
Weka tangawizi, vitunguu swaum, hoho, karoti chumvi, mafuta. Ibandike jikoni ifunike mpk nyanya zitoe mchuzi kabisa.Weka maji kidogo ichemke teena kidogo tayari kwa kuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…