Hicho ni kishika uchumba cha ndoa kati ya mfanyabiashara na Zakayo!Wakuu.ni hayo tuu,..nahitaj elim hapa,..maana nachojua mim kidogo ni kodi ya mapato inakatwa kwenye faida.sasa hata biashara sjaanza ndo nafanya paperworks ila nahitajika kulipa hilo kadirio
Nmekua nalipa hiv kipind cha nyuma ila leo imenibid nijiulize hili swal,..nadhan vyuma vimekaza sana
Lakin wale ma giant hua wana wa exempt 5yrs au sio.kwel hohehahe ataendelea kua hohehahe milele,..nahis Tz sio land of oportunities,..kwa hustle zangu hiz nadhan ningekua china au US ningekua na networth ya kama 250mil USDHicho ni kishika uchumba cha ndoa kati ya mfanyabiashara na Zakayo!
Lakin wale ma giant hua wana wa exempt 5yrs au sio.kwel hohehahe ataendelea kua hohehahe milele,..nahis Tz sio land of oportunities,..kwa hustle zangu hiz nadhan ningekua china au US ningekua na networth ya kama 250mil USD!
!
"Kuna Muda Nawaangalia Ninyi Mnaotaka Kufanya Biashara Halafu Nasema Hiiiiiiiii"
Lakin wale ma giant hua wana wa exempt 5yrs au sio.kwel hohehahe ataendelea kua hohehahe milele,..nahis Tz sio land of oportunities,..kwa hustle zangu hiz nadhan ningekua china au US ningekua na networth ya kama 250mil USDTaxation system yenyewe kwa Tanzania hii hata haileweki.
Sera zenyewe za kodi zinabadirikana kulingana na size ya budget.
Sheria za kodi wanaozitunga ndio hao akina Ole sendeka na wengine ambao hawajawahi kufanya hata biashara.
Tax base yenyewe inayokusudiwa haijulikani kama ni makampuni au watumiaji wa mwisho wa bidhaa.
Utekelezaji wa ulipaji kodi wenyewe unaendeshwa kimabavu tu hakuna busara hata kidogo.
Ukiongelea suala la kodi Tanzania ni pasua kichwa na hakuna mtu anaeweza kukupa jibu/Maelezo ya kuridhisha na yenye mantiki.
Ngoja na mimi nisubiri majibu.
Mchumba mwenye hela nyingi anabembelezwa ili asikimbie!Lakin wale ma giant hua wana wa exempt 5yrs au sio.kwel hohehahe ataendelea kua hohehahe milele,..nahis Tz sio land of oportunities,..kwa hustle zangu hiz nadhan ningekua china au US ningekua na networth ya kama 250mil USD
Ndiyo hivyo mkuu.Kutoboa bongo ni ngum sana,mwisho wa siku unahangaika unaishia kujenga kanyumba na kagar,then u die,..serikal zetu znachojua ni kukamua tuu ngombe akat majan hawatoi...
Tanzania haijawahi kuwa land of opportunities isipokuwa ni land of opportunists tu.Lakin wale ma giant hua wana wa exempt 5yrs au sio.kwel hohehahe ataendelea kua hohehahe milele,..nahis Tz sio land of oportunities,..kwa hustle zangu hiz nadhan ningekua china au US ningekua na networth ya kama 250mil USD
Mwenyewe hela kidogo hapaswi kubembelezwa?Mchumba mwenye hela nyingi anabembelezwa ili asikimbie!
Ushawai fanya biashara?wew ni mfanya biashara?au unaongea na hujui hata unachoongea..kodi ya mapato maana yake nin? Tuanzie hapo kwanzaShort and clear..
uwezi ku register business na kulipia business license bila kuanza ku operate....[HASHTAG]#kwa[/HASHTAG] mtazamo wa tra utakua unaleta tax avoidance
pili huwezi kumake loss in 3 conserkative years, maana kama biashara ni hasara na unafanya lazma kuna unachonufaika,,so utalipia kodi pia ya mapato ..[HASHTAG]#kwa[/HASHTAG] mtazamo wa tra utakua unaleta tax avoidance