Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Wakuu,
Ni hayo tuu, nahitaji elimu hapa maana ninachojua mimi kidogo ni kodi ya mapato inakatwa kwenye faida sasa hata biashara sijaanza ndo nafanya paperworks ila nahitajika kulipa hilo kadirio.
Nimekua nalipa hivi kipindi cha nyuma ila leo imenibidi nijiulize hili swali, nadhani vyuma vimekaza sana.
Ni hayo tuu, nahitaji elimu hapa maana ninachojua mimi kidogo ni kodi ya mapato inakatwa kwenye faida sasa hata biashara sijaanza ndo nafanya paperworks ila nahitajika kulipa hilo kadirio.
Nimekua nalipa hivi kipindi cha nyuma ila leo imenibidi nijiulize hili swali, nadhani vyuma vimekaza sana.