Nielimishe: Kwanini nilipe kodi kabla hata sijaanza biashara?

Nielimishe: Kwanini nilipe kodi kabla hata sijaanza biashara?

Ushawai fanya biashara?wew ni mfanya biashara?au unaongea na hujui hata unachoongea..kodi ya mapato maana yake nin? Tuanzie hapo kwanza
sijawahi kufanya biashara, kazi yangu hairuhusu kufanya biashara binafsi, so na outsource mitaji kwa mke na ndugu zangu....
kodi ya mapato imekua wide sana mkuu, esp zama hizi( mfano - Alternative Minimum Tax (AMT) on turnover for loss making companies 0.3 % ya loss y mwaka wa 3(kama miaka mitatu yote unapata hasara) kwahiyo nayo ni kodi ya mapato/hasara....which ever the way...
ila la msingi jua kwamba ile ni kama deferred tax ..its an assurance kama uta operate..lazma u account kodi mapema...ukiwa in payable position itafidia, ukiwa kwenye refundable position ita ongezeka relief kwako

JUA..juu chini kama mfanyabiashara, lazma ulipe advance,,maana kodi itakuhusu tu kila njia ya operation zako mbele..lipa now au mbele zaidi..so ndo mana unagongwa mapema..

in short kueleza kimfumo wa lugha y abiashara siwezi, i dont speak business, i analyse ..
 
sijawahi kufanya biashara, kazi yangu hairuhusu kufanya biashara binafsi, so na outsource mitaji kwa mke na ndugu zangu....
kodi ya mapato imekua wide sana mkuu, esp zama hizi( mfano - Alternative Minimum Tax (AMT) on turnover for loss making companies 0.3 % ya loss y mwaka wa 3(kama miaka mitatu yote unapata hasara) kwahiyo nayo ni kodi ya mapato/hasara....which ever the way...
ila la msingi jua kwamba ile ni kama deferred tax ..its an assurance kama uta operate..lazma u account kodi mapema...ukiwa in payable position itafidia, ukiwa kwenye refundable position ita ongezeka relief kwako

JUA..juu chini kama mfanyabiashara, lazma ulipe advance,,maana kodi itakuhusu tu kila njia ya operation zako mbele..lipa now au mbele zaidi..so ndo mana unagongwa mapema..

in short kueleza kimfumo wa lugha y abiashara siwezi, i dont speak business, i analyse ..
Kwa hawa small scale ushawai skia hata m1 wame mrefund mkuu,
Lets speak real talk mkuu,..kweny sheria na taratib iko hvyo,ila ndiyo kinachofanyika hiko?...na kuhusu zile exemptions kwa giants unaziongeleaje?kwan uwekezaj wa biashara si una level kutokana na capital ya mtu,..y huku kuwe hiv kule kuwe vile.
 
sijawahi kufanya biashara, kazi yangu hairuhusu kufanya biashara binafsi, so na outsource mitaji kwa mke na ndugu zangu....
kodi ya mapato imekua wide sana mkuu, esp zama hizi( mfano - Alternative Minimum Tax (AMT) on turnover for loss making companies 0.3 % ya loss y mwaka wa 3(kama miaka mitatu yote unapata hasara) kwahiyo nayo ni kodi ya mapato/hasara....which ever the way...
ila la msingi jua kwamba ile ni kama deferred tax ..its an assurance kama uta operate..lazma u account kodi mapema...ukiwa in payable position itafidia, ukiwa kwenye refundable position ita ongezeka relief kwako

JUA..juu chini kama mfanyabiashara, lazma ulipe advance,,maana kodi itakuhusu tu kila njia ya operation zako mbele..lipa now au mbele zaidi..so ndo mana unagongwa mapema..

in short kueleza kimfumo wa lugha y abiashara siwezi, i dont speak business, i analyse ..
Achana na madesa ya darasani full cut and paste. Hivi unatakiwa tax clearence ndipo upate leseni ya biashara na ziko biashara huwezi kuzianzisha hadi uwe na leseni.
Sasa mtu anakadiriwa kodi analipa, ndipo akachukue leseni wakati hajaanza biashara. Hii ni maumivu sana
 
Achana na madesa ya darasani full cut and paste. Hivi unatakiwa tax clearence ndipo upate leseni ya biashara na ziko biashara huwezi kuzianzisha hadi uwe na leseni.
Sasa mtu anakadiriwa kodi analipa, ndipo akachukue leseni wakati hajaanza biashara. Hii ni maumivu sana
Nashkuru,..jamaa nadhan yuko kishuleshule zaid,ila in real talk/world hayuko..na ni sabab hafany biashara yeye
 
Achana na madesa ya darasani full cut and paste. Hivi unatakiwa tax clearence ndipo upate leseni ya biashara na ziko biashara huwezi kuzianzisha hadi uwe na leseni.
Sasa mtu anakadiriwa kodi analipa, ndipo akachukue leseni wakati hajaanza biashara. Hii ni maumivu sana
Mbona mshahara haukatwi kabla
 
sijawahi kufanya biashara, kazi yangu hairuhusu kufanya biashara binafsi, so na outsource mitaji kwa mke na ndugu zangu....
kodi ya mapato imekua wide sana mkuu, esp zama hizi( mfano - Alternative Minimum Tax (AMT) on turnover for loss making companies 0.3 % ya loss y mwaka wa 3(kama miaka mitatu yote unapata hasara) kwahiyo nayo ni kodi ya mapato/hasara....which ever the way...
ila la msingi jua kwamba ile ni kama deferred tax ..its an assurance kama uta operate..lazma u account kodi mapema...ukiwa in payable position itafidia, ukiwa kwenye refundable position ita ongezeka relief kwako

JUA..juu chini kama mfanyabiashara, lazma ulipe advance,,maana kodi itakuhusu tu kila njia ya operation zako mbele..lipa now au mbele zaidi..so ndo mana unagongwa mapema..

in short kueleza kimfumo wa lugha y abiashara siwezi, i dont speak business, i analyse ..
Mbona mshahara hawakat kabla
 
Nilijikusanya kwa miezi kadhaa, hatimae nimefungua kamradi kwa mtaji mdogo kabisa,

nikaenda tra kuulizia kuhusu kodi, wakaniambia natakiwa kufanyiwa assessment ili nilipie withholding tax n.k maana nina mkataba wa kupangishwa, nikaondoka zangu na kujiuliza 'kwa mtaji mdogo chini ya milioni moja, halafu nikalipe kodi ambapo bado nadaiwa operation costs kibao ili kuboresha kamradi kakue, nitatoka kweli? Kisha nikajijibu mwenyewe na kusema iwapo nitajipeleka kulipa kodi basi kamradi katafubaa na kufa, maana hela ninayopata itaishia kwenye kodi ya tra, umeme, ulinzi na kodi ya mwenye frame.


Nikapiga moyo konde na kuamua kutolipa kodi yoyote kwa tra wala mwenye frame ( nikasoma makala moja iliyonifumbua macho kuhusu operation costs' deduction to boost productivity and profits= less costs but more profits).


Nikajisemea! Bora niuzie bidhaa zangu barabarani kama machinga kuliko kufanya liability bussiness ya kwenye frame (not asset bussiness).


Kwa miaka hii kama una mtaji mdogo usipange frame tafadhali maana kahela kote kataishia tra.

Nimeshaamua kuanza maisha mapya ya kufanyia biashara maeneo ya wazi kama chinga lakini nipate chochote kuliko kuumia na unreasonable taxes.
 
Nilijikusanya kwa miezi kadhaa, hatimae nimefungua kamradi kwa mtaji mdogo kabisa,

nikaenda tra kuulizia kuhusu kodi, wakaniambia natakiwa kufanyiwa assessment ili nilipie withholding tax n.k maana nina mkataba wa kupangishwa, nikaondoka zangu na kujiuliza 'kwa mtaji mdogo chini ya milioni moja, halafu nikalipe kodi ambapo bado nadaiwa operation costs kibao ili kuboresha kamradi kakue, nitatoka kweli? Kisha nikajijibu mwenyewe na kusema iwapo nitajipeleka kulipa kodi basi kamradi katafubaa na kufa, maana hela ninayopata itaishia kwenye kodi ya tra, umeme, ulinzi na kodi ya mwenye frame.


Nikapiga moyo konde na kuamua kutolipa kodi yoyote kwa tra wala mwenye frame ( nikasoma makala moja iliyonifumbua macho kuhusu operation costs' deduction to boost productivity and profits= less costs but more profits).


Nikajisemea! Bora niuzie bidhaa zangu barabarani kama machinga kuliko kufanya liability bussiness ya kwenye frame (not asset bussiness).


Kwa miaka hii kama una mtaji mdogo usipange frame tafadhali maana kahela kote kataishia tra.

Nimeshaamua kuanza maisha mapya ya kufanyia biashara maeneo ya wazi kama chinga lakini nipate chochote kuliko kuumia na unreasonable taxes.
Tafuta tax advisor utakuwa huru. Karibu
 
Back
Top Bottom