Kuna aliyejaribu Kuaaply TCU recently nashindwa it seems wanasema hawana records za matokeo yangu ya form 6, could it be bado hawaja feed matokeo yetu ya form 6 kwenye database zao.
Kaka unaeza soma course yoyote kama una pass ya hesabu olevel. Mi mwenyewe nilikua nasoma EGM nina D E F na S ya GS lakini naenda kuapply IFM sababu ya pass yangu ya hesabu ya olevel.
Pharmacy haichukui vilaza.
Pharmacy haichukui vilaza.
tatizo wabongo hampendi kuambiwa ukweli..huyo dogo kwa marks hzo hapati pharmacy,otherwise aombe kozi zinazochukua vilaza kama za ualimu etc.
Pharmacy haichukui
Pharmacy haichukui
Mkuu!! Maneno hayo!!
Mkuu!! Maneno hayo!!
mkuu,hyo kozi inahtaji mtu alye bright,sasa unadhani wakichukuliwa ovyo ovyo,si ndo hawa badala ya kumpa mgonjwa dawa ya kutibu minyoo wao wanampa dawa ya kutibu malaria.huyu dogo hana pakuchomokea zaidi ya kwenda ualimu tu.
we mshenz nn?acha kuzalilisha walimu,nahc ww una 0
Pamoja na hayo...kuna maneno ya kutumia si kiivyo!! Mkuu hata communication skills...tena one na two!! Zote umetoka kapa!!? Mi sina la ziada mkuu...mkuu,hyo kozi inahtaji mtu alye bright,sasa unadhani wakichukuliwa ovyo ovyo,si ndo hawa badala ya kumpa mgonjwa dawa ya kutibu minyoo wao wanampa dawa ya kutibu malaria.huyu dogo hana pakuchomokea zaidi ya kwenda ualimu tu.