Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Kuna aliyejaribu Kuaaply TCU recently nashindwa it seems wanasema hawana records za matokeo yangu ya form 6, could it be bado hawaja feed matokeo yetu ya form 6 kwenye database zao.
Kaka unaeza soma course yoyote kama una pass ya hesabu olevel. Mi mwenyewe nilikua nasoma EGM nina D E F na S ya GS lakini naenda kuapply IFM sababu ya pass yangu ya hesabu ya olevel.
mtakua bado hamjawekwa kwenye data base,kuwa na subira..pia ni vizuri ukajaribu na bcom ya udom au ile baf ya muccobs kuna chance ya kuchaguliwa.all the best.