Niende kusoma digrii au diploma?

Niende kusoma digrii au diploma?

Joined
Feb 14, 2022
Posts
62
Reaction score
95
Habari za muda wanaJF,

Mimi ni kijana nimemaliza form six mwaka huu 2024, matokeo yangu kiufupi yalikua kama ufuatavyo.
  • Chemistry - E
  • Bio - E
  • Geography - D
  • BAM - E
  • G.S - D
Sema kweli matokeo yangu hayakua mazuri kwa ujumla.

Bila kusita nilifanya application za vyuo kwa level mbili zote degree pamoja na diploma. Majibu ya vyuo tayari yameshatoka wakuu.

🔵Level ya degree-nimebahatika kuchaguliwa University of Arusha Kozi ya business administration with accounting.

🟢 Level ya diploma nimechaguliwa Kigamboni city college health and allied science Kozi ya clinical dentistry.

Wakuu Naomba ushauri wenu ndugu zangu wapi niende ambako kuna unafuu🙏🙏

Natanguliza shukran za dhat kwenu.🙏


Screenshot_20240904-104400.jpg
Screenshot_20240904-104612.jpg
 
Nenda degree toa mawazo ya kuajiriwa huko kichwani, degree itakujenga uwezo wa kupambanua mambo kuliko diploma ambayo ukimaliza utaishia kufanya kazi za kuajiriwa kwa salary ya laki tisa,
Kama una malengo makubwa nenda degree kama una malengo ya karne ya 19 nenda diploma
 
Hivi vitu bana ushauri hua mgumu kutoa maana unakuta hujaweka nyama za kutosha.
Ungeweka vitu kama family background, personal interest zako, unaishi wapi, nani anaenda kulipia hizo gharama za masomo n.k.
Nasema hvo kwa sababu ya vitu 2.
1. Huko dentistry, hakuna watu wengi so opportunity unaeza kupata though ukijitahd ukapiga zaidi ukafungua clinic yako mwenyewe utapata mihela.
2. Huko arusha, wel inategemeana pia. Mqana ukiimaliza hyo kozi kaa ukijua suala la kupata kazi hadi ujuqne na watu n.k.
All in all n story ndefu
 
Hivi vitu bana ushauri hua mgumu kutoa maana unakuta hujaweka nyama za kutosha.
Ungeweka vitu kama family background, personal interest zako, unaishi wapi, nani anaenda kulipia hizo gharama za masomo n.k.
Nasema hvo kwa sababu ya vitu 2.
1. Huko dentistry, hakuna watu wengi so opportunity unaeza kupata though ukijitahd ukapiga zaidi ukafungua clinic yako mwenyewe utapata mihela.
2. Huko arusha, wel inategemeana pia. Mqana ukiimaliza hyo kozi kaa ukijua suala la kupata kazi hadi ujuqne na watu n.k.
All in all n story ndefu
Ahsante kaka angu
 
Daah ,saw nimekuelewa kaka
Asikutishe mkuu kwasasa elimu ya diploma vyuo vyote sawa tena private ndo wanafundisha hasa bahati mbaya wanafunzi ndo huwa wazembe...nenda kajitume utatoboa ila hakikisha unatoka na GPA mlima usipate chini ya 4.5 vingonevyo utakuja kujuta huko mbele kama utataka kuendelea.

Najua watakuja watu watakiambia GPA ya 3 inatosha ila uliza wenye hizo kwasasa wana wakati gani.
 
Clinical dentistry ina future ila sema chuo ulichopata sio kizuri. Kama unajiweza kifedha kapige shule, ila mwakani ufanye mpango wa kuhama.

Pia kwa kozi hiyo diploma unapata mkopo

Asikutishe mkuu kwasasa elimu ya diploma vyuo vyote sawa tena private ndo wanafundisha hasa bahati mbaya wanafunzi ndo huwa wazembe...nenda kajitume utatoboa ila hakikisha unatoka na GPA mlima usipate chini ya 4.5 vingonevyo utakuja kujuta huko mbele kama utataka kuendelea.

Najua watakuja watu watakiambia GPA ya 3 inatosha ila uliza wenye hizo kwasasa wana wakati gani.
Ahsante kaka,kwa ushauri🙏
 
Asikutishe mkuu kwasasa elimu ya diploma vyuo vyote sawa tena private ndo wanafundisha hasa bahati mbaya wanafunzi ndo huwa wazembe...nenda kajitume utatoboa ila hakikisha unatoka na GPA mlima usipate chini ya 4.5 vingonevyo utakuja kujuta huko mbele kama utataka kuendelea.

Najua watakuja watu watakiambia GPA ya 3 inatosha ila uliza wenye hizo kwasasa wana wakati gani.
Mtu ana D ya geography unataka akapate 4.5, never.
 
Back
Top Bottom