tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Habari zenu Jf, Naomba ushauri wenu,, ni hivi kuna msichana ambaye nimempenda na nimeshaanza kutengeneza ukaribu naye. Habari niliyoipata jioni ya leo ni kwamba rafiki yangu wa karibu amewahi mpenda sana huyu binti, lakini hakufanikiwa kumpata baada ya kumfatilia kwa muda mrefu. Kwa kifupi bado sijamweleza lengo langu. Hofu niliyonayo, ikitokea nikampata na kuwa naye, huyu rafiki yangu atanichukulieje na atajisikiaje?{hajawah kuniambia hili suala}.