financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Wangu yupi tena? Nifah amekua fair kwenye ubuyu si wa watu hata wa kwake mwenyewe anauleta😀Wewe wako nani?. Halafu huyu dada alikuwa ana leta ubuyu wa Doctor Cheni na Salma jambazi sijui Ali kiba na Lulu leo naona ubuyu wake kaona aulete🤣🤣
Mkuu umeandika kwa uchungu sana, dada Nifah inabidi akuweke kwenye waiting list aseeHili nililijua mapema kabisa hata kabla hujaandika.
Uliza nilijuaje??.
Ila mapenzi ni usenge Sanaa.. ona jamaa kala mbunye weee Kwa miaka mingi mnoooo lkn mwisho mmetamanaz pengine hapo katikati wanaume wa kukuoa walikuja kwako ila ukawakataa Kwa ajili ya Jamaa.
Pengine hapo katikati umeshatoka mimba Kadhaa kadhaaaz hatimaye unakuja kuolewa na Good Boy ila ndo Ivo huzai.
Tuchukulie wee najamaa, mmekua wapenzi ukiwa na miaka 28, ongeza miaka mlopotezeana muda, hapo unagonga kama miaka 35 hivi !!!.
Miaka 35, maana yake unatafuta Mwanaume wa kuanzia miaka 37.
My Dear, mwanaume kuanzia miaka 37 Hajaoa ??? Awe Hajaoa, basi awe Hana hata Mwanamke ??? Hana hata mchumba???
Akiwepo wa hivo labda awe Hana Uchumi yaan Hana Kazi ,Hana Pesa, Hana chochote !!.
Na kama ana Pesa na kazi na Hajaoa Kwa huo Umri, maana yake ANA TABIA ZILE ZILE ZA THE BOLD ,zilizokufanya Muachane, yaan unaenda kukutana Tena na MTALAKA
mzunguko unarudi uleule wa Nifa-The Bold Mpya !!.
Hatari nayoiona?.
Unaweza Anza sema... No one can judge me .
Pia ukasema..... Ndoa sio lazimaa banaaaa Bora nitafute Watoto !!.
Mwisho..WANAUME TUACHE USENGEEE, HUWEZ PIGA PUMBU MTOTO WA MTU MIAKA YOTE HIYO ALAFU UMTEME.
Hata , Wadada hongereni, haiwezekan kuendelea kua kwenye Mahusiano na mwanaume anayekugonga bao la kuku dakika moja chalii!!.
MASELA WENZANGU WAKIUME NA KIKE NAWASHAURI...
MWANAMKE, HAKIKISHA UNAZINGATIA MAOKOTO YAKO KABLA YA KUANZA KUCHANUA MAPAJA OVYOOVYO YAAN KUWENI KAMA WALE WADADA WA TELEGRAM.
WANAUME, NAWASHAURI TUTAFUTE HELA ILI TINAPOTAKA NGONO AU WATOTO, TUPATE BILA KUWEKEZA MOYO SANA.
KOMENTI HII, NDIO UJUMBE WANGU WA KUWATAKUA MWAKA MPYA.
Kapigwa chini hamna namna, kapigwa chiniii😀😀😀Ila watu bhana...
Nifah ameamua kuandika sababu yeye ndiyo yupo active JF kwa sasa kuliko jamaa...na amekuwa akiulizwa maswali mengi kuhusiana na mahusiano yake na The Bold.. Na aliahidi ataleta uzi kabla ya mwaka kuisha au mwanzo wa mwaka( 2024) ataeleza kila kitu....
Sasa kosa lake hapo ni nini?
Wanaume acheni kujihesabia haki kwenye Mahusiano....
Nliuona mda tu tena una 2min sema sikutaka kucomment nlipita kimya kimyaKuna mtu anaitwa Mpaji Mungu bado ajaona huu uzi ni mpana kama shuka la Amana.😄
Mzee gani tena 🤣🤣🤣Tayana-wog maombi yetu yatafanikiwa kweli?au tumuombee Missy Gf na yule mzee wake tu😁😁😁
Nisamehe mwayaNliuona mda tu tena una 2min sema sikutaka kucomment nlipita kimya kimya
Imesikitisha hii au tuwaite tuwasuluhishe hawa hadi warudiane🤔aisee ndio hivyo bana
Ako well and good!Shem smart anaendeleaje 😁😁
Pambana na wewe angalau upate ndoa🐒
😁😁😁Ako well and good!
Ndoa niwe nayo mara Ngapi??
Wala hata usiwaze rafiki yangu!Nisamehe mwaya
Raha ya mwizi ni umkimbize kimya kimya hadi mwenyewe aanze kupiga keleleHahahaaa Nimeipenda hiii wanasema Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....
Smart911 ataekiletaa weee tombaaa tu hadi akili iwakae sawa
We Jamaa unazingua Sasa..., Wadada hongereni, haiwezekan kuendelea kua kwenye Mahusiano na mwanaume anayekugonga bao la kuku dakika moja chalii!!.
Umeua sanaHili nililijua mapema kabisa hata kabla hujaandika.
Uliza nilijuaje??.
Ila mapenzi ni usenge Sanaa.. ona jamaa kala mbunye weee Kwa miaka mingi mnoooo lkn mwisho mmetamanaz pengine hapo katikati wanaume wa kukuoa walikuja kwako ila ukawakataa Kwa ajili ya Jamaa.
Pengine hapo katikati umeshatoka mimba Kadhaa kadhaaaz hatimaye unakuja kuolewa na Good Boy ila ndo Ivo huzai.
Tuchukulie wee najamaa, mmekua wapenzi ukiwa na miaka 28, ongeza miaka mlopotezeana muda, hapo unagonga kama miaka 35 hivi !!!.
Miaka 35, maana yake unatafuta Mwanaume wa kuanzia miaka 37.
My Dear, mwanaume kuanzia miaka 37 Hajaoa ??? Awe Hajaoa, basi awe Hana hata Mwanamke ??? Hana hata mchumba???
Akiwepo wa hivo labda awe Hana Uchumi yaan Hana Kazi ,Hana Pesa, Hana chochote !!.
Na kama ana Pesa na kazi na Hajaoa Kwa huo Umri, maana yake ANA TABIA ZILE ZILE ZA THE BOLD ,zilizokufanya Muachane, yaan unaenda kukutana Tena na MTALAKA
mzunguko unarudi uleule wa Nifa-The Bold Mpya !!.
Hatari nayoiona?.
Unaweza Anza sema... No one can judge me .
Pia ukasema..... Ndoa sio lazimaa banaaaa Bora nitafute Watoto !!.
Mwisho..WANAUME TUACHE USENGEEE, HUWEZ PIGA PUMBU MTOTO WA MTU MIAKA YOTE HIYO ALAFU UMTEME.
Hata , Wadada hongereni, haiwezekan kuendelea kua kwenye Mahusiano na mwanaume anayekugonga bao la kuku dakika moja chalii!!.
MASELA WENZANGU WAKIUME NA KIKE NAWASHAURI...
MWANAMKE, HAKIKISHA UNAZINGATIA MAOKOTO YAKO KABLA YA KUANZA KUCHANUA MAPAJA OVYOOVYO YAAN KUWENI KAMA WALE WADADA WA TELEGRAM.
WANAUME, NAWASHAURI TUTAFUTE HELA ILI TINAPOTAKA NGONO AU WATOTO, TUPATE BILA KUWEKEZA MOYO SANA.
KOMENTI HII, NDIO UJUMBE WANGU WA KUWATAKUA MWAKA MPYA.
Nitakufukuza huku sasa hivi...Watu hawaongelei mambo za ukweli waliyoyaficha wanatungatunga tu uongo ili Tonniah aonekane ana shobo kwa smart humu Kwani wote ni wageni bwahahahahahahahahah!!
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Smart911 wee dume la mbegu bana🙇🙇🙇🙇🙇🤣
KabeeesaRaha ya mwizi ni umkimbize kimya kimya hadi mwenyewe aanze kupiga kelele
Murifeee runnn 😂😂🏃🏃🏃Naona kabisa🤣🤣 sio b tu anauliza eti b halafu jina linashushwa hapo.
Run Murifeee🤣🤣