Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Ukute mpo 150 😀😀😀thubutuMtu muokotane sehemu kuna jina fake tena mtu anaweza kutumia I’d zaidi ya kumi kwako na kwa wengine ni sawa kuokota Dodo Jangwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute mpo 150 😀😀😀thubutuMtu muokotane sehemu kuna jina fake tena mtu anaweza kutumia I’d zaidi ya kumi kwako na kwa wengine ni sawa kuokota Dodo Jangwani.
Wa kwake huo sio unoko maana hajasema sababu.Ahahahaha....wote wanakikuta majasusi!? 😂😂😂.
Ila she is strong kwakwel. Kwakwel na declare interest leo kwamba Nifah Ume qualify kuwa mleta ubuyu mwenye quality unbiased standard..unoko wa watu unatuletea na wakwako umetuwekea, tuseme nini tena?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ushuziii tu.Si ili aonekane kama ameonekana[emoji2][emoji2], kwamba na yeye ni one out of millions of Jf ladies [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mwisho wa siku tunapata kufurahi kama hivi😃😃🤣[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ushuziii tu.
Aloo, nimesahau jina lako moja ila la pili ni Kimaro na umeshawahi nitumia hela Kwa maelekezo ya the Bold. He is a good man. Mengine tuyaache kama yalivyo. Kutofautina ni jambo la kawaidaView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Na vipepeo hujaviona kwenye avatar 😂😂Wameanza na bubles zao 😬
Haha jamaa akaona isiwe tabu 😀😀Si ndiyo...
Kuna hilo Husiano moja lilikuwaga humu[emoji1]Enzi hizo Bidada kila sehemu ni kumtaja jamaa...
Jamaa akija ana'like tu.. hajibu wala nini...Ni kama jamaa alikuwa hapendi ile kitu..
Sasa hivi sijui hata lilishiaga wapi[emoji1]
Mara Mia moja Fecebook kuliko Jf maana kule uwongo ni asilimia ndogo kuliko humu kwenye fake kila kitu.Ukute mpo 150 😀😀😀thubutu
Dadaaaa wewe....Dadaaaaaa mahaba yakinoga hayafichiki [emoji526]
Hee sasa mbona kama uchafu vile wameziba avatar yoteNa vipepeo hujaviona kwenye avatar 😂😂
Hamna jema Jamani 😀Hee sasa mbona kama uchafu vile wameziba avatar yote
DuhUnasalimiwa na pacha wako Mufti kuku The Infinity
Hatujawaomba.Hamna jema Jamani 😀
Sherekeheni vyema sikukuu
Ila watu bhana...ukisikia kenge anapiga kelele jua amefinywa sawasawa. Mwamba ukute hata alishamsahau dada yetu ila dada yetu bado anamkumbuka tangu August huko, hapo ndio utajua aliyeachwa ni nani
Sitaki Ugomvi mimi...na kusutwa sipo tayari...Hebu litaje hilo husiano[emoji23][emoji23]