RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Nifah kadada fulani hivi keupe, portable sikarefu wala kafupi, tatizo ni single Mom.Kumbe? Sikufahamu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifah kadada fulani hivi keupe, portable sikarefu wala kafupi, tatizo ni single Mom.Kumbe? Sikufahamu mkuu.
Unajuaga utani?kumbe haya mambo yapogo
Hahaaa hayaanitakutetea shoga angu![]()
Hata single mom wanaolewa ila wakubali terms za mwanaume wake.Nifah kadada fulani hivi keupe, portable sikarefu wala kafupi, tatizo ni single Mom.
Kwakweli aje atuambie.Nilitak kuuliza Hilo pia
View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
[emoji23][emoji23][emoji23] mtoa ushauri mbona kama umeshachelewa [emoji2960]
Wajaaa😂😂😂😂🤣🤣🤣🙌Alifanikiwa kukutomba peku mara ngapi?
Bi faiza kama umeolewa basi mumeo ni kolo pro max.Mbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu.
Ni vyema mapenzi feki umeuwa ki feki feki.
Wanaolewa ndio, lakini nimtihani mkubwa.Hata single mom wanaolewa ila wakubali terms za mwanaume wake.
Mbona kitaa ndoa za single moms ziko kibao although mimi siwataki kabisa, nishaambiwa nisiwalete kutokana na tamaduni za kabila letu.
Hivi na wale CC wapo wapo au ndo mtaachana tu😄😄.mdomo komaa.
Ujue mwanaume kusutwa haipendezi🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
shoga weeee niko nyuma ka mkia wa pakaUnajuaga utani?