Sina cha kuniumiza na sijawahi kuumia.Shemela si ungekausha tu, HivI vile umekuja na uzi inaonekana anayeumia ni wewe huku mtaalamu bold Yuko katulia zake na manzi mwingine kimya Wala Hana habari.
Kifo hicho vipi? Hizi ni habari zilizopendwa, za kale π€£π€£π€£Hii taarifa najua ni ya kuhuzunisha ila haya mafataki ya mwaka mpya yanafanya nashindwa kucatch feelingsππππ
Ila mods imagine mtu anatoa taarifa ya kifo halafu ndo haya mafataki yamekakamaaa
Weraaa weraaaHappy New Year wenye wabebez humu[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!
Kam kauwaaaaaaaaπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€ΈπΊπΊ!Weraaa weraaa
Happy new year.
Happy new year naomba uokoke na Mungu akoneshe njia TOBA MUHIMUAsante mwaya.
Ila usiyachukie mapenzi, hukumpata tu mtu sahihi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndo chitchat/ MMU yenyewe sasa .Hapa kati ilipoa sana
Asante Nifa na wadau wengine
Nasema uongo π€ π€ ??? Uzuri weee wamuda humuu hahahaha... tangu enzi hizo watu tunabambaa Humu hahaha..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeyafufua walaii jiandaee .. Sema jf ukishawajulia walaaa hawakupi shidaJimbo gani? Mimi sio, jimbo lina mwenyewe.
Alikua mapokezi pale jangid plazaNakumbuka kipindi kile wewe na huyo mtalaka wako mkimpigia kampeni ontario na forex yake. Mliwaingiza chaka wengi