Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana


Duuuh haya wakuu hongereni
 
Nasema uongo [emoji1783][emoji1783]??? Uzuri weee wamuda humuu hahahaha... tangu enzi hizo watu tunabambaa Humu hahaha..
Yaaani, nakumbuka zile bato humu za zamani

Kikubwa ukisha opoa Jimbo jf unalihamisha kwenda uraiani. Utaishi Kwa Amani sana.

Ila kwakweli nimefadhaishwa na huu Uzi. Ila ni muhimu kuheshimu mawazo ya watu.

All the best Nifah
 
Yaaani, nakumbuka zile bato humu za zamani

Kikubwa ukisha opoa Jimbo jf unalihamisha kwenda uraiani. Utaishi Kwa Amani sana.

Ila kwakweli nimefadhaishwa na huu Uzi. Ila ni muhimu kuheshimu mawazo ya watu.

All the best Nifah
Kweli bato zilianza muda humu kitambo sana watu wanapigwa vita
.Nimependa hapo pa kuhamishia uraiani.
Msalimie sana Mama P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…