Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Lakini sijasema moja kwa moja kwamba sitoweka wazi, ila tu nasubiri tupige hatua rasmi.
Nitawaambia msijali, na kuachana sahau.
Yeah kuhusu kuachana nilikuwa natania tu ila hata mimi sipendi watu waachane kusema kweli, si kila mtu humu ni mchawi wa mahusiano ya watu sisi wengine watu wakipendana hatupungukiwi na chochote hivyo hatuna sababu ya kuchukia, so for the sake of us well wishers do not forget to introduce our shem to us
 
Mahusiano yakivunjika yanaumiza, hata useme siumii kiukweli ni kuwa wahusika wanaumia.Mume na mke wenye watoto huachana na maisha yanaendelea.
Hiyo Galaxy ya mapenzi ukiishi salama mshukuru sana Mungu, binafsi ni muathirika wa hilo ila nataka ujue kuna maisha nje ya hiyo galaxy. Karibu ukaperani, hii timu inasajili kila uchao. Pole
Kwa kiasi kidogo sana, ila asante.
 
Yeah kuhusu kuachana nilikuwa natania tu ila hata mimi sipendi watu waachane kusema kweli, si kila mtu humu ni mchawi wa mahusiano ya watu sisi wengine watu wakipendana hatupungukiwi na chochote hivyo hatuna sababu ya kuchukia, so for the sake of us well wishers do not forget to introduce our shem to us
Wakati ukifika nitawatambulisha shemeji yenu mpya, asante.
 
Sina cha kuniumiza na sijawahi kuumia.

Nina maisha mengine sasa hivi na mpenzi mwingine hapahapa, ulazima ulikuwepo wa kuweka wazi kwamba haya yameisha kabla ya kuonekana na mwingine.
Nami nakaribishwa kutuma maombi niweke backup generator in case huyo akizingua naingiza Miguu au unasemaje?
 
Mnatuchanganya huyu ndio huyo BOLD au Kuna njemba nyingi maana maneno haya yana ukakasi

BOLD mmeachana August 2023

Huyu mlieachana mkarudiana mpk sasa hivi mambo ni burudanii ni nanii?

Najaribu #$najaribu, microphone test
20240101_021507.jpg
 
Back
Top Bottom