The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
Mimi nazidi kuomba wasikuchoke madame, hahaha..huyu jamaa anatamani watu wachokane ili waachane. Hivi hii ni chitchat sio!!Nilikua najua wewe ni wa kike kwa hio avatar loh
😂😂😂😂mie mwenyewe sitak kumlchoka kabisaaa, inaitwa roho mbaya hio kuombea wenzio wachokaneMimi nazidi kuomba wasikuchoke madame, hahaha..huyu jamaa anatamani watu wachokane ili waachane. Hivi hii ni chitchat sio!!
Couple inajielewa..mambo yao kimyaaa.😍
Hapana..nawish wawe pamoja Hadi uzeeni.Hadi na wewe una wish... au sio?
Hapana..nawish wawe pamoja Hadi uzeeni.
Vipi mpwa Ulishawahi zama pmKumbe wewe ni Me???
Ohooo... Kigori wangu, hujambo?Vipi mpwa Ulishawahi zama pm
Sijambo mimi jamani handsomeOhooo... Kigori wangu, hujambo?
Hapana aiseeh.
Kabisa, ni roho mbaya na haijengi. Tunawaombea wote waliopo katika mahusiano/ndoa wadumu wasiachane kamwe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie mwenyewe sitak kumlchoka kabisaaa, inaitwa roho mbaya hio kuombea wenzio wachokane
Nakupenda sana mimi.Sijambo mimi jamani handsome