The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
"Moja kati ya Couple maarafu sana humu JF ni hii ya The Bold na Nifah.
Kwakweli kwa jinsi nilivyopitia baadhi ya post na comment za Nifah,huyu mtoto inaonekana anajua sana kudeka,mapenzi na caring ya hali ya juu.Inshort Habibu B. Anga anafaidi sana.Sasa Kwanini na mimi nisifaidi walau siku moja!
Rai yangu kwao ni moja tu, huwa najua hakuna marefu yasiyo na ncha, mabaharia huwa tupo pembeni kutega mingo.
Bold siku ukimchoka Nifah , mlete kwangu, nitampokea.Walau na mimi nifaidi mema ya nchi.Kizuri kula na mwenzako bwana."
................
Alisikika Mlevi mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli kwa jinsi nilivyopitia baadhi ya post na comment za Nifah,huyu mtoto inaonekana anajua sana kudeka,mapenzi na caring ya hali ya juu.Inshort Habibu B. Anga anafaidi sana.Sasa Kwanini na mimi nisifaidi walau siku moja!
Rai yangu kwao ni moja tu, huwa najua hakuna marefu yasiyo na ncha, mabaharia huwa tupo pembeni kutega mingo.
Bold siku ukimchoka Nifah , mlete kwangu, nitampokea.Walau na mimi nifaidi mema ya nchi.Kizuri kula na mwenzako bwana."
................
Alisikika Mlevi mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app