Nifah yuko wapi?

Nifah yuko wapi?

Nakumbuka alisema hawezi kuendelea humu ikiwa mr wake yupo banned.....so the bold akirudi na bibie nae tutakuwa nae humu,

NimewaMiss kwakwer hata mm....ila ndo hvyo uongozi ss umeamua.
Daah...kumbe anayemfanya awepo humu ni The Bold

Ama kweli....Malovee ni swaafi mazee!
 
Kajipiga ban baada ya "mumewe" kupigwa ban na JF
 
ingelikuwa melo hawapendi watu wanaotumia mtandao wake angelitoa majina ya wale waliotakiwa na data zote lkn akakubali kulala lupango kisa watu wachache! huenda bado mimi ni kipofu.. lkn hata hivyo ukikubali kutumia mtandao fulani si umekubali kufata vigezo na masharti..
 
ingelikuwa melo hawapendi watu wanaotumia mtandao wake angelitoa majina ya wale waliotakiwa na data zote lkn akakubali kulala lupango kisa watu wachache! huenda bado mimi ni kipofu.. lkn hata hivyo ukikubali kutumia mtandao fulani si umekubali kufata vigezo na masharti..


Ni kweli mkuu,.
Ila baadhi ya watu humo uongozini hawatendi haki
 
Nina bahati kusoma Lisa cha Nifah kutoonekana jukwaani.. As you said.. Comment zako zote ulizoelezea kisa chao zimepigwa chini...[emoji19]

Sent using Jamii Forums mobile app

Aiseeeeeh.

Kweli binadamu, tunatofautina sana inapokuja suala zima la riziki.

Naamini hata hii yako na majibu yangu pia yatang'olewa.
 
Hivi huyo mdada yuko wapi ....?? Nilikuwa napenda uchangiaji wake kwa kweli. ....

Fursa2017
 
Back
Top Bottom