Nifahamishe kuhusu denda, kunyonyana ndimi

Nifahamishe kuhusu denda, kunyonyana ndimi

wa baha ela

Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
37
Reaction score
5
Je denda ni salama linapokuja suala la kuambukizana maradhi hasa UKIMWI... Tumepima na tunatumia kondom lakini tunaishi mikoa tofauti na huonana baada ya miezi miwili... Wasiwasi wangu ni denda. je ni salama?
 
Ndiyo mkuu, denda ni salama.
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.
 
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.

Nimeupenda msamiati mpya "wadendenaji" na "mmedendana"

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.

bakita mpooo????
 
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.

Asante,, sikulijua hili.
 
Je denda ni salama linapokuja suala la kuambukizana maradhi hasa UKIMWI... Tumepima na tunatumia kondom lakini tunaishi mikoa tofauti na huonana baada ya miezi miwili... Wasiwasi wangu ni denda. je ni salama?
Denda ni salama kama hamna vidonda kwenye mdomo na msitumie meno mkaumana maana damu zikigusana ndipo maambukizi yanapotokea!
 
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.

ukimwi ni nini?
 
Je denda ni salama linapokuja suala la kuambukizana maradhi hasa UKIMWI... Tumepima na tunatumia kondom lakini tunaishi mikoa tofauti na huonana baada ya miezi miwili... Wasiwasi wangu ni denda. je ni salama?
sina hakika sana na hilo kama ni salama lakini nijuavyo ni risk ingawa mimi denda siiamin pia zaidi nahisi ni propagana za wazungu kurubuni zaidi labda jiulize kitu kimoja kwa nn unaambiwa ukiupata utaweza kupata majibu ya uhakika ndani ya miezi mitatu lakini wewe unaweza kuambukiza mwenzio baada ya masaa machache tu baada ya wewe kuupata? na hata hao wanao sema mate lita tano hayo maelezo wameyatoa kwa hao hao wazungu so wakati mwingine changanya na zakwako kwamba kwanini kuna kipimo kinaitwa ORALQUICK HIV TEST? labda kwa kukusaidia zaid soma hapa http://testkitsathome.com/instant-hiv-saliva-test.aspx?gclid=CIuPqIDG2LoCFcR7Qgod4QIAcw halafu ufanye tathimin na hizo propaganda za hao wanao sema mate lita tano wakati wenzetu wanatumia kipimo hicho sasa kinapima nini wakati kinywa ni salama ?? nafikiri kuna maswali mengi ya kujiuliza hapa mkuu hawa wazungu hawana jema na sisi coz hata madocta wetu wana paste kutoka kwao so inawezekana nao wakaaminishwa uongo.
 
Michael Douglas ana cancer ya koo kutokana na kudendeka sana,
 
Sawa mkuu, isipokuwa huwezi kupata ukimwi kwa kunyonyana denda na mtu mwingine.

nakubaliana na wewe mkuu ila wataalamu wanakuambia uwezekano huo upo km vigezo na masharti kutozingatiwa.
 
actually no its not really safe....dangers still apply
.jpg
.jpg
 
sina hakika sana na hilo kama ni salama lakini nijuavyo ni risk ingawa mimi denda siiamin pia zaidi nahisi ni propagana za wazungu kurubuni zaidi labda jiulize kitu kimoja kwa nn unaambiwa ukiupata utaweza kupata majibu ya uhakika ndani ya miezi mitatu lakini wewe unaweza kuambukiza mwenzio baada ya masaa machache tu baada ya wewe kuupata? na hata hao wanao sema mate lita tano hayo maelezo wameyatoa kwa hao hao wazungu so wakati mwingine changanya na zakwako kwamba kwanini kuna kipimo kinaitwa ORALQUICK HIV TEST? labda kwa kukusaidia zaid soma hapa http://testkitsathome.com/instant-hiv-saliva-test.aspx?gclid=CIuPqIDG2LoCFcR7Qgod4QIAcw halafu ufanye tathimin na hizo propaganda za hao wanao sema mate lita tano wakati wenzetu wanatumia kipimo hicho sasa kinapima nini wakati kinywa ni salama ?? nafikiri kuna maswali mengi ya kujiuliza hapa mkuu hawa wazungu hawana jema na sisi coz hata madocta wetu wana paste kutoka kwao so inawezekana nao wakaaminishwa uongo.

Asanta xana
 
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.



duhh nini ati lita 5 tehe
 
sina hakika sana na hilo kama ni salama lakini nijuavyo ni risk ingawa mimi denda siiamin pia zaidi nahisi ni propagana za wazungu kurubuni zaidi labda jiulize kitu kimoja kwa nn unaambiwa ukiupata utaweza kupata majibu ya uhakika ndani ya miezi mitatu lakini wewe unaweza kuambukiza mwenzio baada ya masaa machache tu baada ya wewe kuupata? na hata hao wanao sema mate lita tano hayo maelezo wameyatoa kwa hao hao wazungu so wakati mwingine changanya na zakwako kwamba kwanini kuna kipimo kinaitwa ORALQUICK HIV TEST? labda kwa kukusaidia zaid soma hapa http://testkitsathome.com/instant-hiv-saliva-test.aspx?gclid=CIuPqIDG2LoCFcR7Qgod4QIAcw halafu ufanye tathimin na hizo propaganda za hao wanao sema mate lita tano wakati wenzetu wanatumia kipimo hicho sasa kinapima nini wakati kinywa ni salama ?? nafikiri kuna maswali mengi ya kujiuliza hapa mkuu hawa wazungu hawana jema na sisi coz hata madocta wetu wana paste kutoka kwao so inawezekana nao wakaaminishwa uongo.
mkuu kwenye kemia kuna vitu wanaita reagent, kumbuka mambo ya litmas paper, kwenye base na acid n.k. sio lazima virusi vikae kwenye mate ndio vipimwe, bali inawezekana mwenye hiv mate yanareact tofauti na reagent husika ukilinganisha na yule aliye hiv free.


na kipimo hicho kinaweza kuwa ni kiashiria cha mwenye hiv bila kugusia virusi kuwepo kwenye mate per se.
uchanganyaji wa reagent unaweza kupelekea mabadiliko ya rangi ya mate na kuelezea kuwa mwenye mabadilikohaya akawa na virusi kulingana na tabia za virusi kuathiri mfumo unaotengeneza mate tena pengine bila hivyo virusi kukaa kwenye mate. ma-daktari wetu wanaweza ku-paste nje lakini wakawa sahihi pia. ni kama kupima ujauzito kwa kutumia mkoja, hapa wanapima mkojo lakini reaction yake (albumin) inatoa ishara kuwa mama ni mjamzito, hivyo hatuwezi kusema mimba inakaa kwenye kibofu. nadhani nitakuwa nimejitahidi kuelezea kwa kiasi, i hope kuna wataalam wengine wako field hii watajibu kiufasha kabisa.
kwa mujibu wa elimu yangu ya kidokta tuliambiwa virusi vinaweza kuwepo kwenye mate pia.
mfano wa magonjwa kama foot and mouth disease(FMD).


stop worrying and start living​
 
Back
Top Bottom